Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.

Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.

Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?

Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana ukawa na shida ya mdikio au ni mjinga tu weka picha ya kuzomewa kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.

Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.

Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?

Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mmbea kama sura yako
 
Huyo mange kwel akili hana, yaan magu ashindwe kumng'oa uhuru ila uhuru ataweza kumng'oa magu, dah kwel hawa ni nyumbu
 
Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.

Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.

Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?

Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Jitu kubwa alafu liongo,tumeona Lowasa akiutubia mkutano huo alioalikwa na Kenyatta wapi kazomewa?
 
Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.

Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.

Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?

Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo hawakuzomea hii dunia ya teknolojia si ya kudanganya mcha kweupeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Uhuru ni mpinzani wa nani na siasa za Kenya zipo sawa na siasa za Kenya.Lowassa anapoteza tu muda wake
Mkuu nimesema concern yangu sio content bali video!Nilikuwa naonesha kuwa mleta mada kasema uongo kuwa Lowassa alizomewa!
 
Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.

Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.

Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?

Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kichaa wewe lowasa alishangiliwa mbaya, tuwekee kideo kuonyesha anavyozomewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dictator uchwara mdogo anakimbizwa uhuru ni level zingine
a1ccc04f08cf477f49c3e2d82ad44152.jpg
 
Viwanda vya umbeya vya Lumumba rasmi katika upotoshaji.
 
Naomba nitoe majibu yangu kama ifuatavyo ''Ya wakenya tuwaachie wakenya'' hakuna maana ya kwenda kupiga kampeni nje ya nchi ilihali ya ndani yamekushinda sina uhakika sana kama alizomewa lakin video inaonesha wengi walilalimika hawamskii hata response yao haikuwa nzuri wakati akiongea in short hakuvuta attention ya watu wengi hilo la kuzomewa sidhani kama alizomewa
 
Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.

Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.

Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?

Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani huyu hakustahili kuzomewa tu, alistahili kupigwa kabisa. Uchaguzi WA Kenya unamhusu nini hasa, ana maslahi gani huko ukizingatia true in Mtz? Haoni kwamba anaingilia internal affairs za Kenya? Ukihamia kwa Manyumbu ni Lazima akili zako zifanane na Manyumbu.

Shame on you Lowassa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom