Kaenda kupiga picha halafu povu lote hili linakutoka kisa?Kaenda kupiga picha tu huyu. Mtu asiyeweza hata kuongea sera zake tu, atasaidia nini kwa Wakenya?
Kenyatta hajitambui kwa nini alishindwa?
Hapa ni vibaka wa fedha na siasa wamekutana mitaani.
Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.
Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.
Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?
Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Propaganda na kiwanda cha kuzalisha uongo cha lumumba kwenye ubora wenu!!!!!!
Ficha upuuzi wako huna ushahidi wowote! Na lumumba hawana uwezo wa kutengeneza video ya kughushiUhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.
Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.
Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?
Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hii imekaaje ya upinzani kuunga mkono chama tawala nchi jirani sio kwamba huwa wana umoja wao Wa upinzani ambapo huwa wana peana support??Bro achana na siasa japo mimi sio mfuasi wa siasa za afrika ila nlifatilia kampeni za kenya na sikuona sehem mtu kazomewa..