hahahahahahaLowassa atupishe kama na yeye alihusika kwenye ufisadi wa madini alipokuwa ccm nae aunganishwe na masisiemu.
Wahusika wote wanatakiwa kuchunguza na kuchukuliwa hatua za kisheria .hata yeye lowasa anahusika...wizi wote uliofanyika huwezi kumweka pembeni lowasa Wala magufuli
Utadhani hawana dini!Sioni utafauti wa TL, Lusinde na Mange Kimambi... wote ni wapayukaji tu.
duuuuh kama ni chuki hapana yatosha.Tangu lini Lowasa Ni Waziri Mkuu.?
Huu ni Uhaini.??..
Sema 'Waziri Mkuu Wa Zamani Aliyejiuzulu"..
Waziri Mkuu wa awamu ya 4 Ampongeza Dr. John Magufuli.
Aliyekuwa Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Edward Lowassa ampongeza Rais John Pombe Magufuli kwa hatua aliyoichukuwa ya kusimamia rasilimali za nchi kikamilifu huku akidai kuwa tiba ya matatizo yote hayo ni upatikanaji wa katiba mpya
Waziri Mkuu wa awamu ya 4 Ampongeza Dr. John Magufuli.
Aliyekuwa Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Edward Lowassa ampongeza Rais John Pombe Magufuli kwa hatua aliyoichukuwa ya kusimamia rasilimali za nchi kikamilifu huku akidai kuwa tiba ya matatizo yote hayo ni upatikanaji wa katiba mpya
teh...huwezi kuona...for very obvious reasonsSioni utafauti kati ya TL, Lusinde na Mange Kimambi... wote ni wapayukaji tu.
mwizi lazima achague maneno..lowasa ni mwiziP
That is why this guy is far intelligent than the so out spoken lawyer. That is the difference with them. He weighs everything before he speaks.
He needs to be understood so.
Tangu lini Lowasa Ni Waziri Mkuu.?
Huu ni Uhaini.??..
Sema 'Waziri Mkuu Wa Zamani Aliyejiuzulu"..