Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

""Rais akishakubali jambo aliloletewa na mawaziri (collective cabinets) hilo jambo linakuwa n la raisi atakayewajibika n raisi"""
Mzee ENL kashajikataa hapa
Halafu akasema wakina zitto kabwe , tundu lissu, mnyika waliomba mikataba hii wakakataliwa , sasa kipindi zitto anaomba hiyo mikataba mpaka akafukuzwa bungeni tayari jamaa alikuwa sio waziri mkuu hapa pia kajikataa .
Anasema hii mikataba tusipokuwa nayo makini tutalipishwa zaidi. Na pia kampongeza raisi kwa nia yake njema na Kama pia data si za KUPIKWA.
Kingine akaomba KATIBA MPYA(Ambayo n Sera ya upinzani)""""
Kwa maono yangu huyu Mzee anatekniki Sana kwanza kaja kufunika hii ishu na yeye kuonekana kwenye magazeti
Pili kaja kupigia kampeni upinzani
Tatu kaja kuonyesha pia aliwahi kuvunja mkataba halafu akaushinda( City water) hongera kwa hilo Mzee wangu EDWARD NGOYAI LOWASSA.


Ila wale manungaembe ya Lumumba hasa huyu aliyeleta huu uzi atakuwa hajaelewa pqmoja na wenzake.


Hongera Sana bingwa wa Siasa Tanzania.
Kwahiyo wewe unampongeza kwa kuficha makucha yake jakua ameyatumia vibaya! !!!!!????.
 
Haya na nyumbu nao watabadilisha na kufuata kupongeza maadamu aliyeshika akili zao keshasema, utamuona Tundu, Mbowe, Msigwa, na takataka wengine wakibadilisha mawazo!
Acha ujinga takataka ni wewe na mkeo nyambafuuuuu
 
Ushauri wangu kwa Nyumbu wakubwa kabla hawajasema jambo wakae meza moja wakubaliane la kusema .sababu wakati wabunge manyumbu wanawatupia mzigo CCM kwamba wao ndio walikua wakitoa sauti ndiooooo, antokea mamvi anasema linalo amuliwa ktk kikao hayo ni maamuzi ya wote, haijalishi ulipinga.
 
Hapana Kuna Vyeo Kama ukivishika Utaendelea kuwa navyo


Balozi Hamis Kagasheki
President Obama
Secretary Hillary Clinton
Waziri Mkuu Lowassa
Judge Lubuva
President Bush
President Kikwete
Rais Mwinyi
Gen (rtd) Mwamunyange
Cpt. Mkuchika
Lt.Makamba
Sergent Chacha........hii hapana
 
Kumbukumbu zinaonesha kuwa Lowassa hakuwa ni muumimi wa Serikali tatu na ni miongoni wa wana CCM walikuwa hawaitaki Katiba pendekezwa ya Judge Warioba. Katiba anayoitaka sasa ni ipi? Iliyokuwa inatakiwa na UKAWA au? Yeye na Sumaye hawawezi kujiosha kiurahisi hivyo? Siyo chuki binafsi lakini huwa inaleta mashaka kama mtu ambaye amkuta mti una matunda ambao haluupanda anaweza akayathimini sana hayo matunda. Ingawa hii ni siasa na lolote au chochote kinaweza kutokea. Nawaza tu
 
Huyo luwasa ni wazir mkuu labda huko kwenu sisi hatuna wazir mkuu fisad kubwa kama huyo

Anajifanya kupongeza ili asihojiwe lazima awamu akanyee ndoo huyo babu la mafisad
Maana ya neno fisadi ni mtu anaechukua wake za watu (Mzee Makamba 2010)
 
Mzee njiani kurudi alikotoka si muda muda mrefu sijui atakaribishwa!!
 
Katiba mpya lowassa smart siasa zake utazipenda
 
.....lakini jambo gumu lilikuwa ni kamba, mikataba ukishaiweka saini inakuwa migumu sana kubadilisha..
Kwanini uweke saini in the first place kama kuna shida ili baadae uje kuomba kusahihisha?
 
Pole pole wanaanza kuja Kama mnavyowaona. Hahahaaaaaaaaa...!!! Uncle Magu wanyoooosheee na waendelee kuisoma Namba.
 
Tundu la Lissu alisema tutashtakiwa. Lowassa anampongeza Uncle Magu. Yaani Chadema Hovyo kabisa
 
Haya wale walikuwa wamenuna wacheke sasa keshapongezwa na kasema yeye alivyokuwa waziri mkuu alishindwa kubadilisha mkataba.... BIG UP MAGUFUlI nashangaa wanamuandama Magufuli kwa kupiga makofi mikataba hii ikipitishwa what about Lowassa hakuwepo?? Na anakiri kushindwa kama waziri mkuu sembuse Magufuli aliyekuwa waziri wa ujenzi.
 
Hapana Kuna Vyeo Kama ukivishika Utaendelea kuwa navyo


Balozi Hamis Kagasheki
President Obama
Secretary Hillary Clinton
Waziri Mkuu Lowassa
Judge Lubuva
President Bush
President Kikwete
Rais Mwinyi
Leo unamtaja Lowassa kwa heshima, kesho utakuwa ukimtukana!
 
Back
Top Bottom