Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Ni ujuha kusema lisu anatetea majambazi na mafisadi. Wakati bungeni alipiga kelele za kutosha.
Juzi tu wanaoshadadia hili suala walipeleka mswada wa gesi ukapita kwa dharura. Lisu alipiga kelele akaitwa mnafiki na si mzalendo. Magufuli ataondoka Athari zitajitokeza hili nalo visingizio vitatafutwa.
Juzi tu wanaoshadadia hili suala walipeleka mswada wa gesi ukapita kwa dharura. Lisu alipiga kelele akaitwa mnafiki na si mzalendo. Magufuli ataondoka Athari zitajitokeza hili nalo visingizio vitatafutwa.