Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

Not all Mr Lowassa you can only fool all the people some of the times but not always.

Hicho unachokifanya ni mtego wa kisiasa, it is to include the Raisi in to the mud of the mining contracts. You mentioning how the system worked is to say we were all involved meaning yourself , Sumaya, magufuli and those who all served from Ali Hasan mwinyi times until JMK.

Hapo unejaribu kujitetea kwa kuhakikisha kama ni kuchunguzwa basi waliokuwemo NA wasiokuwemo wote wachunguzwe.

You are definitely a better politician than the VUVUZELA LAWYER
Hakuna cha u better politicians hapa.. Lowassa ni mwizi kama walivyo wezi wenzake walioko CCM.
 
Lowassa leo ameonyesha kweli yeye yupo safi na anajiamini kweli. haogopi

Akihojiwa na Charles Hilali kuhusu sakata la mikataba ya madini, na sheria zake za madini. Alipohojiwa kuhusu maamuzi aliyochokuwa Rais, Lowassa amesema wazi kuwa alipokuwa anafanya kampeni Geita aliahidi kupitia upya mikataba yote na sheria za madini, pia akampongeza Rais.

swali la pili kuhusu kuwajibisha walikuwa kwenye nafasi wakati wa mikataba hiyo, amejibu kuwa hakuna mkataba unaosainiwa na wizi pekee yake bila kujadiliwa na baraza la mawaziri, na kisha kupewa go ahead na Rais.

Kuhusu lawama inayopelekwa kwa bunge, amesema wabunge wanatekeleza sera za ccm kwahiyo wakulaumiwa ni ccm na wabunge wake.

Well done Lowassa leo nimeshangaa kumsikia mzee huyu akiongea kwa umakini mkubwa
Unaelezea kwa maneno wakati clip yake wakati anazungumza imeshawekwa hapa muda mrefu? Fanya utafiti kabla ya kuanzisha post!
 
Well done Lowassa leo nimeshangaa kumsikia mzee huyu akiongea kwa umakini mkubwa
Mbona huyu mzee bado jicho moja halifunguki vizuri, bado kachokachoka lakini sio kama alivyokuwa kwenye kampeni za kupeperusha bendera ya UKAWA.
 
Hapana Kuna Vyeo Kama ukivishika Utaendelea kuwa navyo


Balozi Hamis Kagasheki
President Obama
Secretary Hillary Clinton
Waziri Mkuu Lowassa
Judge Lubuva
President Bush
President Kikwete
Rais Mwinyi
VYA UFISADI TUNAACHANA NAVYO.
 
Lowassa ameongea ukweli lakini hakutakiwa kumpongeza Raisi kwa sababu naye amehusika katika kupitisha sheria mbovu za mikataba ya madini.
Kama Lowasa amehusika kupitisha sheria Mbovu vipi kuhusu Magufuli, Ndugai, Anna Makinda na wabunge wote wa CCM waliokuwa Bungeni ambao wana miaka zaidi ya 10 ndani ya Bunge?
 
Lowassa leo ameonyesha kweli yeye yupo safi na anajiamini kweli. haogopi

Akihojiwa na Charles Hilali kuhusu sakata la mikataba ya madini, na sheria zake za madini. Alipohojiwa kuhusu maamuzi aliyochokuwa Rais, Lowassa amesema wazi kuwa alipokuwa anafanya kampeni Geita aliahidi kupitia upya mikataba yote na sheria za madini, pia akampongeza Rais.

swali la pili kuhusu kuwajibisha walikuwa kwenye nafasi wakati wa mikataba hiyo, amejibu kuwa hakuna mkataba unaosainiwa na wizi pekee yake bila kujadiliwa na baraza la mawaziri, na kisha kupewa go ahead na Rais.

Kuhusu lawama inayopelekwa kwa bunge, amesema wabunge wanatekeleza sera za ccm kwahiyo wakulaumiwa ni ccm na wabunge wake.

Well done Lowassa leo nimeshangaa kumsikia mzee huyu akiongea kwa umakini mkubwa
HIVI HUYU MZEE AMESAHAU NAE ALISHWAHI KUWA MBUNGE WA CCM NA WAZIRI NA TENA HADI WAZIRI MKUU KABISA? MBONA YEYE ANAJITOA AS IF KATOKA CCM MWAKA 1995, WAKATI KATOKA 2015. HAPA NNAMAANISHA NAYEYE HAWEZI KUKWEPA HIZI LAWAMA. MWAMBIENI CC SIO NYUMBU
 
Lowassa ameongea ukweli lakini hakutakiwa kumpongeza Raisi kwa sababu naye amehusika katika kupitisha sheria mbovu za mikataba ya madini.
Ila wewe jama unaakili ndogo sana, au sijui ni chuki kwa Magu tu?

Hivi Lowassa na Sumaye si product za CCM hizo? Na bado wanaitumikia CCM huku ninyi hamshtuki.
 
""Rais akishakubali jambo aliloletewa na mawaziri (collective cabinets) hilo jambo linakuwa n la raisi atakayewajibika n raisi"""
Mzee ENL kashajikataa hapa
Halafu akasema wakina zitto kabwe , tundu lissu, mnyika waliomba mikataba hii wakakataliwa , sasa kipindi zitto anaomba hiyo mikataba mpaka akafukuzwa bungeni tayari jamaa alikuwa sio waziri mkuu hapa pia kajikataa .
Anasema hii mikataba tusipokuwa nayo makini tutalipishwa zaidi. Na pia kampongeza raisi kwa nia yake njema na Kama pia data si za KUPIKWA.
Kingine akaomba KATIBA MPYA(Ambayo n Sera ya upinzani)""""
Kwa maono yangu huyu Mzee anatekniki Sana kwanza kaja kufunika hii ishu na yeye kuonekana kwenye magazeti
Pili kaja kupigia kampeni upinzani
Tatu kaja kuonyesha pia aliwahi kuvunja mkataba halafu akaushinda( City water) hongera kwa hilo Mzee wangu EDWARD NGOYAI LOWASSA.


Ila wale manungaembe ya Lumumba hasa huyu aliyeleta huu uzi atakuwa hajaelewa pqmoja na wenzake.


Hongera Sana bingwa wa Siasa Tanzania.
Nyumbu kwa mahaba hamjambo?

Aje kufunika isiongelewe wapi? Wakati kila thread 99% unazokutana nazo humu zinaongelea hiyo ishu?

Jiulize magazeti ya leo yaneipiga kapu i bajeti mbadala ya UKAWA yani hata Tz daima!
 
hakuna cha u better politicians hapa..lowasa ni mwizi kama walivyo wezi wenzake walioko ccm
In fact ukiisoma vizuri post yangu, utaona simuungi mkono bali ninamueleza kuwa fumbo mfumbie mjinga, Mjanja atalitambua. If u read vèy carefully u will see that i had the meaning that he is trying to cleanse himself by setting a trap for others.
 
Back
Top Bottom