Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

Lissu Yupo sahihi. Corporate governance ndio shida . Inatatuliwa kwa kuwa na strong institutions na legal framework. Watakaoelewa hili ni watu wa calibre ya Chenge ambao kesho mkishindwa kutoka maamuzi juu yake kwenye hiki atasaidia. The teh
 
MZEE NAKUOMBA UJE UMCHUKULIE HATUA KALI SANA KUBENEA , KUMBE UNAHEKIMA HIVYO, ALITUHAMINISHA WEWE NI FISADI. KWAHILI NAKUUNGA MKONOView attachment 523400
mwanahalisi-jpg.523400
 
Hapana Kuna Vyeo Kama ukivishika Utaendelea kuwa navyo


Balozi Hamis Kagasheki
President Obama
Secretary Hillary Clinton
Waziri Mkuu Lowassa
Judge Lubuva
President Bush
President Kikwete
Rais Mwinyi
1497367886276.png


Nani kakwambia Obama hivi sasa anaitwa President Obama !!!!
 
Hapana Kuna Vyeo Kama ukivishika Utaendelea kuwa navyo


Balozi Hamis Kagasheki
President Obama
Secretary Hillary Clinton
Waziri Mkuu Lowassa
Judge Lubuva
President Bush
President Kikwete
Rais Mwinyi
Lazima mstaafu limalizikie
 


Mzee kachoka kidogo ila katoa somo jinsi maamuzi ya kiserikali yanavyofanyika na yanapitia ngazi gani! Hivyo kama ni kumshika mchawi ni nani wa kushikwa!

My take:

Wote wawili walikuwa serikalini kwa muda mrefu hivyo na wenyewe hawawezi kujivua uhusika, japo mzigo mkubwa utabebeshwa aliyekuwa Raisi wa kipindi husika!
 
Huyo luwasa ni wazir mkuu labda huko kwenu sisi hatuna wazir mkuu fisad kubwa kama huyo

Anajifanya kupongeza ili asihojiwe lazima awamu akanyee ndoo huyo babu la mafisad
Kwa hii nchi ya Tanzania nawaheshimu saana.

1. Endrew Chenge
2. Edward Lowasa

Hawa kamwe hawawindi swala wao wanawinda Tembo tu. Na wote majina yao yanaanzia na E.
 
""Rais akishakubali jambo aliloletewa na mawaziri (collective cabinets) hilo jambo linakuwa n la raisi atakayewajibika n raisi"""
Mzee ENL kashajikataa hapa
Halafu akasema wakina zitto kabwe , tundu lissu, mnyika waliomba mikataba hii wakakataliwa , sasa kipindi zitto anaomba hiyo mikataba mpaka akafukuzwa bungeni tayari jamaa alikuwa sio waziri mkuu hapa pia kajikataa .
Anasema hii mikataba tusipokuwa nayo makini tutalipishwa zaidi. Na pia kampongeza raisi kwa nia yake njema na Kama pia data si za KUPIKWA.
Kingine akaomba KATIBA MPYA(Ambayo n Sera ya upinzani)""""
Kwa maono yangu huyu Mzee anatekniki Sana kwanza kaja kufunika hii ishu na yeye kuonekana kwenye magazeti
Pili kaja kupigia kampeni upinzani
Tatu kaja kuonyesha pia aliwahi kuvunja mkataba halafu akaushinda( City water) hongera kwa hilo Mzee wangu EDWARD NGOYAI LOWASSA.

Ila wale manungaembe ya Lumumba hasa huyu aliyeleta huu uzi atakuwa hajaelewa pqmoja na wenzake.

Hongera Sana bingwa wa Siasa Tanzania.
 
Back
Top Bottom