Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

Edward Lowassa ampongeza Rais Dr. John Magufuli

Yaani huyu mzee damu yake bado imejaa uccm. Anaipenda sana ccm basi tu. Maana hata watu wa upinzani kuwataja majina yao inamshinda. Daah
 
Lowassa ameongea ukweli lakini hakutakiwa kumpongeza Raisi kwa sababu naye amehusika katika kupitisha sheria mbovu za mikataba ya madini.
Bado hujaelewa sikiliza tena mkuu tena sikiliza kwa masikio matatu utamwelewa Sana tena sana
 
View attachment 523401


Nani kakwambia Obama hivi sasa anaitwa President Obama !!!!
Angalia hapa we Dada
IMG_20170613_184640_582.JPG
 
Hoja za Lowassa ni mfu mno ukimsikiliza kwa makini anaonekana ameongea si kwa lengo kumpongeza Rais lakini kumuonya asiwafuate viongozi wanaotuhumiwa kwa wizi kwa kisingizio cha maamuzi kufanya kwa collective responsibility. Magufuli ataanzia mliposhindwa ninyi kwenye utawala wenu. Halafu anawasifia wapinzani kuwa ndio waliouanzisha mjadala huo sasa yeye na udikteta wake mbona hakufanya kitu kama naye aliguswa?
VITA YA UFISADI SERIKALINI CHINI YA MAGUFULI HAIJAWAHI KUMWACHA MTUHUMIWA SALAMA.
 
Yaani huyu mzee damu yake bado imejaa uccm. Anaipenda sana ccm basi tu. Maana hata watu wa upinzani kuwataja majina yao inamshinda. Daah
Ingia ndani ya ubongo wako utapata majibu sahihi mkuu.
Ni sifa gani anastahili kuwa nazo mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya ulinzi na usalama. Cheo ambacho Lowasa amekuwa nacho miaka mingi aliyokuwa Bungeni.
 
Lowassa ameongea ukweli lakini hakutakiwa kumpongeza Raisi kwa sababu naye amehusika katika kupitisha sheria mbovu za mikataba ya madini.
Unampangia cha kuzungumza????
 
Haya na nyumbu nao watabadilisha na kufuata kupongeza maadamu aliyeshika akili zao keshasema, utamuona Tundu, Mbowe, Msigwa, na takataka wengine wakibadilisha mawazo!
Sasa wewe, hutaki wapongeze, ?Kinachotendeka lazima kipongezwe mradi tu kiwe chema
 
Ngoja tu tumpongeze mzee wetu, angekuwa CCM tungesema anazeeka vibaya na yeye alihusika kupitisha mikataba na kupinga rasimu ya wananchi. Lakini kwa vile yupo kwetu " unazeeka vizuri mzee"
 
Back
Top Bottom