mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,039
- 35,922
Enzi niko sekondari nilikuwa napata marks za juu somo la English ila kuongea ilikuwa shida.
Sasa huyo kumwembe nimefuatilia makala zake kwenye mitandao na gazetini yuko vizuri.
Sababu inaonekana huwa anafanya research kabla ya kuandika, lakini kwenye TV na radio si mzuri, hana sauti, anakosa mtiririko wa kimantiki. Good-looking but not photogenic.
Jina tu linambeba.
Sasa huyo kumwembe nimefuatilia makala zake kwenye mitandao na gazetini yuko vizuri.
Sababu inaonekana huwa anafanya research kabla ya kuandika, lakini kwenye TV na radio si mzuri, hana sauti, anakosa mtiririko wa kimantiki. Good-looking but not photogenic.
Jina tu linambeba.