Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 15,836
- 40,387
Popoma mkuu wa mapopomaSasa kama ni makapi unauliza ili iweje?
Popoma mkuu wa mapopomaSasa kama ni makapi unauliza ili iweje?
Nilijua Kikao cha kupambana na coronaKuna Kikao kinaendelea mahali, Kuna uwezekano wabunge Sita toka Chadema wakahamia NCCR Mageuzi kwa pamoja siku za karibu.
Tusubiri tuone.
Ni wazi kuwa Upinzani unajimaliza wenyewe kwa sasa.
Ole Mushi
0712702602.
View attachment 1407181
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona hii CoronaHuyo eddo anadhani upinzani wa simba na yanga. Upinzani wa kisiasa ni wanasiasa. Wao ndio wana majukwaa ya kuongea wakasikika. We mwingine ukifanya hivyo inakuwa vurugu. Labda kama mnapinzana kwenye yanga na simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajifunze kuandika ndio urudi tena, mpuuzi mkubwa.Edo na Thadeo nawaona kama wapuuzi hakuna mwenye maono chanya .... Uyo Thadeo nimwalimu wa primary anafundisha stad za kazi..sasa siasa anazijuaje za upinzani
MTU mweny Elimu yakuunga unga
Ukimwangalia Edo nimsakatonge anadhani sisi Wnaharakti tunasoma ujinga wao.
Wapeleke TAKUKURUAcha waendelee kununua watu badala yakununua mawazo/ fikra za wapinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
na wewe unaejadili watu badala ya hoja iliyopo mezani, tukuweke kwenye kundi gani?.Edo na Thadeo nawaona kama wapuuzi hakuna mwenye maono chanya .... Uyo Thadeo nimwalimu wa primary anafundisha stad za kazi..sasa siasa anazijuaje za up in
MTU mweny Elimu yakuunga unga
Ukimwangalia Edo nimsakatonge anadhani sisi Wnaharakti tunasoma ujinga wao.
Na wewe unaejadili watu badala ya hoja iliyopo mezani tukuweke kwenye kundi gani?.Edo na Thadeo nawaona kama wapuuzi hakuna mwenye maono chanya .... Uyo Thadeo nimwalimu wa primary anafundisha stad za kazi..sasa siasa anazijuaje za upinzani
MTU mweny Elimu yakuunga unga
Ukimwangalia Edo nimsakatonge anadhani sisi Wnaharakti tunasoma ujinga wao.
Upinzani wa simba na yanga ni rahisi saaana kuua kuliko upinzani wa kisiasa.Ikitokea ukanunua wachezaji na mdhamini wa timu basi hiyo timu inakuwa hisitoria.Huyo eddo anadhani upinzani wa simba na yanga. Upinzani wa kisiasa ni wanasiasa. Wao ndio wana majukwaa ya kuongea wakasikika. We mwingine ukifanya hivyo inakuwa vurugu. Labda kama mnapinzana kwenye yanga na simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusome historia ya kuanguka kwa dola shirikishi la jamuhuri ya kisoviet ya urusi
Halafu tumweleweshe ole na wengine
[/
Brother mbona unaleta mifano isiyo na uhusiano kabisa!?
Wewe ndo umeandika ugolo kama si pumbaHuyu nae anaeitwa Edo Kumwembe mbona kajibu pumba hivi? Upinzani unaozungumziwa hapa ni upinzani kuhusiana na Vyama. Yaani vyama vya upinzani ambavyo vikuwa na nia ya kushika dola pale ambapo chama tawala kitashindwa kutekeleza ilani yake ya uchaguzi. Ndio hivi ambavyo vinaenda kufa. Hisia za kupinga jambo fulani sio ishu hapa. Maana hata kama mna chama kimoja lazima kutakuwa na kupingana juu ya masuala kadhaa. Lakini mfano Ccm itekeleze ilani yake kama inavyofanya sasa,alafu hisia za mtu zinamtuma kupinga huwezi sema huo ni upinzani. Bali ni upingaji maendeleo.
Akili ndogo na uwezo mdogo wa kufikiri.Wewe ndo umeandika ugolo kama si pumba
Wala sio hisia. Upinzani ni itikadi.Kuna Kikao kinaendelea mahali, Kuna uwezekano wabunge Sita toka Chadema wakahamia NCCR Mageuzi kwa pamoja siku za karibu.
Tusubiri tuone.
Ni wazi kuwa Upinzani unajimaliza wenyewe kwa sasa.
Ole Mushi
0712702602.
.........................................
Edo Kumwembe
Upinzani sio chama, sio Mbowe, sio Chadema...ni hisia za watu...upinzani hauwezi kufa, Chadema, Cuf, NCCR, CCM, TLP vinaweza kufa lakini upinzani hauwezi kufa...ni hisia tu za mwanadamu kutokubali mambo yanavyokwenda. Hata CCM wakiwa wapinzani hawatakubali mambo yanavyoendeshwa na wengine...ni hisia za kupinga, sio kuwa na kadi ya chama flani mkononi...hata Rais, kwa mambo anayoongea sasa au kuyafanya sasa ni wazi alikuwa hapendi au ana upinzani na mambo yaliyokuwa yanafanyika wakati yeye akiwa sio madarakani... Upinzani ni hisia.
View attachment 1406999
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo eddo anadhani upinzani wa simba na yanga. Upinzani wa kisiasa ni wanasiasa. Wao ndio wana majukwaa ya kuongea wakasikika. We mwingine ukifanya hivyo inakuwa vurugu. Labda kama mnapinzana kwenye yanga na simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Edo na Thadeo nawaona kama wapuuzi hakuna mwenye maono chanya .... Uyo Thadeo nimwalimu wa primary anafundisha stad za kazi..sasa siasa anazijuaje za upinzani
MTU mweny Elimu yakuunga unga
Ukimwangalia Edo nimsakatonge anadhani sisi Wnaharakti tunasoma ujinga wao.