Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
Kuna Kikao kinaendelea mahali, Kuna uwezekano wabunge Sita toka Chadema wakahamia NCCR Mageuzi kwa pamoja siku za karibu.
Tusubiri tuone.
Ni wazi kuwa Upinzani unajimaliza wenyewe kwa sasa.
Ole Mushi
0712702602.
.........................................
Edo Kumwembe
Upinzani sio chama, sio Mbowe, sio Chadema...ni hisia za watu...upinzani hauwezi kufa, Chadema, Cuf, NCCR, CCM, TLP vinaweza kufa lakini upinzani hauwezi kufa...ni hisia tu za mwanadamu kutokubali mambo yanavyokwenda. Hata CCM wakiwa wapinzani hawatakubali mambo yanavyoendeshwa na wengine...ni hisia za kupinga, sio kuwa na kadi ya chama flani mkononi...hata Rais, kwa mambo anayoongea sasa au kuyafanya sasa ni wazi alikuwa hapendi au ana upinzani na mambo yaliyokuwa yanafanyika wakati yeye akiwa sio madarakani... Upinzani ni hisia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri tuone.
Ni wazi kuwa Upinzani unajimaliza wenyewe kwa sasa.
Ole Mushi
0712702602.
.........................................
Edo Kumwembe
Upinzani sio chama, sio Mbowe, sio Chadema...ni hisia za watu...upinzani hauwezi kufa, Chadema, Cuf, NCCR, CCM, TLP vinaweza kufa lakini upinzani hauwezi kufa...ni hisia tu za mwanadamu kutokubali mambo yanavyokwenda. Hata CCM wakiwa wapinzani hawatakubali mambo yanavyoendeshwa na wengine...ni hisia za kupinga, sio kuwa na kadi ya chama flani mkononi...hata Rais, kwa mambo anayoongea sasa au kuyafanya sasa ni wazi alikuwa hapendi au ana upinzani na mambo yaliyokuwa yanafanyika wakati yeye akiwa sio madarakani... Upinzani ni hisia.
Sent using Jamii Forums mobile app