Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 16,355
- 23,076
Unajidanganya ukifikiria kwamba ili uwe mchambuzi wa siasa lazima uwe uwe musoma siasa. Bashiru yule pale unaona Ujinga anaoongea. Nashindwa hata kueleza ujinga anaongeaga bashiru
Sent using Jamii Forums mobile app
Edo na Thadeo nawaona kama wapuuzi hakuna mwenye maono chanya .... Uyo Thadeo nimwalimu wa primary anafundisha stad za kazi..sasa siasa anazijuaje za upinzani
MTU mweny Elimu yakuunga unga
Ukimwangalia Edo nimsakatonge anadhani sisi Wnaharakti tunasoma ujinga wao.
Sent using Jamii Forums mobile app