rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,193
- 20,167
Wanaosema waamuzi wanawahujumu ni nani .Hivi hawa mikia vichwa vyao vikoje wao kila mtu anawahujumu mara Senzo anatuhujumu mara Prisca anaihujumu simba nara wasafi wanaihujumu simba mara Kitenge anaihujumu simba hivi kauli ya kuhujumiwa mbona haitoki midomoni mwenu?
Manyani katika ubora wenu