Economic Forum at SAUT: Prof. Muhongo, Lissu ndani (March 16, 2013)

Economic Forum at SAUT: Prof. Muhongo, Lissu ndani (March 16, 2013)

Wananiuzi katika huu mdaharo wanatumia lugha kiingereza.

Ndio ujiulize ni nani mtetezi wa Mtanzania Maskini?
Na hilo linafanyika ndani ya Mwanza, ambapo watu wanaoelewa Kiingereza hata asilimia 5% hawafiki, sasa nani mlengwa?
Na wanajadili mambo muhimu kabisa yanayomuhusu Mwananchi wa kawaida kabisa anayeishi kwenye migodi, lkn hao wanaoitwa watetezi wa wanyonge wanatumia Lugha ambayo huyo Mnyonge wanaomtetea hawezi kuielewa, hapo sasa! Safari bado ndefu!
 
Sasa hivi wako busy kutafuta kibali cha kurusha hile clip ya lwakatare
Ni kweli mkuu TBC wangerusha live hii maneno,lkn ndio hivyo tena wako busy kuaminisha Umma kilichofanywa na chama.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nawiwa vigimu sana kupost picha kwa simu nifanyeje wandugu kwa njia nyepesi??
Nipo live kwenye mdahalo.
 
Daaa prof kaingia mitini kabisa daaa na simu kazima kabisa!
 
Naona tundu lissu anafanya code mixing na code switch ktk kudadavua mambo though mdahalo umekuwa guarantee kwa kingereza.
 
Lisu: anadadavua sheria ya kuvuna madini (economic docuum and lisence).
 
Mwe!mbona kimya mkuu.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Me mwenyewe nashindwa kwenda nao sambamba hasa lisu anatumia law jargons na kingereza kigumu sana.
 
Me mwenyewe nashindwa kwenda nao sambamba hasa lisu anatumia law jargons na kingereza kigumu sana.

Halafu anashangaa kwa nini Watu wa Dar hawaendi kwenye Mikutano yake! Hawa watu bure kabisa, puh!
 
Hata mimi mkuu...
Na nakumbuka alivyomuumbua Sumaye wakati fulani, then akamdhalilisha Mkapa baade, kabla ya kumsasambua Pinda mwaka juzi kwenye mihadhara ya Sokoine pale SUA...
nakumbuka hii,nlikuepo..Ilibidi mashwali yazuiwe kumnusuru pinda.
 
Ni kweli mkuu TBC wangerusha live hii maneno,lkn ndio hivyo tena wako busy kuaminisha Umma kilichofanywa na chama.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Ukitaka warushe pasiwepo na kichwa kama lisu
 
Lissu kahitimisha kwa kusema kwamba:
Njia pekee ya kukabiriana na wizi wa rasilimali zetu ni lazima tuamke na ku criticize yanayotokea.
Ni mbinu gani itumike ni sisi wa tz ku decides.
 
Hata mimi mkuu...Na nakumbuka alivyomuumbua Sumaye wakati fulani, then akamdhalilisha Mkapa baade, kabla ya kumsasambua Pinda mwaka juzi kwenye mihadhara ya Sokoine pale SUA...
Inapendeza huyu prof ni hatari ana confidence kubwa.
 
Haina shida ila picture is worth than a thousand words!!

Kwenye forums raha yake upate nondo za discussion coz wanaongea facts kwenye mikutano ya ki-si-hasa picha poa maana ni polojo tupu.
 
Back
Top Bottom