Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,097
- 84,558
You still have time bruh! Kuwa tu..Dah h elimu niliyonayo n bora nngeishia form four then nikawe mjasiriamali sokoni Huko
You still have time bruh! Kuwa tu..Dah h elimu niliyonayo n bora nngeishia form four then nikawe mjasiriamali sokoni Huko
Shemeji yangu unazeeka! Kasema ana degree tu, gen zee kuwaelewa sio kazi ndogo 😅Una degree 2?.
Umesomea nn na nini?.
Una miaka mingap?.
Uko wap?.
Nakata tamaa mm mwnyw, najipa imani mm mwnyw.You still have time bruh! Kuwa tu..
Umesoma sheria chuo gani unaandika hivi?Nimesomea sheria, miaka 28,mkoa Dsm ila saiv masomo nishaachan nayo napambania maisha yangu
Usichoke bwana! Tupambane tu mdogo mdogo! Nina imani ipo siku utasahau kama ulihangaikia ndoto zako kiasi cha kukata tamaa!Nakata tamaa mm mwnyw, najipa imani mm mwnyw.
Ah nachoka aisee 😭
Miaka nayo sasa 😂 inakimbia utadhani imekula pilipili kichaaUsichoke bwana! Tupambane tu mdogo mdogo! Nina imani ipo siku utasahau kama ulihangaikia ndoto zako kiasi cha kukata tamaa!
Mkuu Degree mbili umezisoma chap na haraka. Sheria miaka 4, na degree nyigineyo miaka 3, 7 yrs upo chuoni. Hongera sana.Nimesomea sheria, miaka 28,mkoa Dsm ila saiv masomo nishaachan nayo napambania maisha yangu
We niache nimelewa saiv kishezUmesoma sheria chuo gani unaandika hivi?
pole ila hujachelewa njoo nikupe mbinuMkuu Degree mbili umezisoma chap na haraka. Sheria miaka 4, na degree nyigineyo miaka 3, 7 yrs upo chuoni. Hongera sana.
Elimu yetu tunatumia muda mwingi shuleni.
Tumesoma na Jamaa mmoja Form one 2011 pale Mhongolo Progressive Sec. School, form one tu jamaa kaachanga shule akaingia kwenye business za mzee wake.
Hadi muda huu jamaa ana tandamu kama 3, ana malori n.k, maisha haya. Bora nigeishiaga form four tu. Unakuwa kweny ajira muda wote unaishia kwa mwajiri.
Ndio hivyo ndugu yangu we acha tu!🥹Miaka nayo sasa 😂 inakimbia utadhani imekula pilipili kichaa
Sawa mwanasheria!We niache nimelewa saiv kishez
Mkuu Degree mbili umezisoma chap na haraka. Sheria miaka 4, na degree nyigineyo miaka 3, 7 yrs upo chuoni. Hongera sana.
Elimu yetu tunatumia muda mwingi shuleni.
Tumesoma na Jamaa mmoja Form one 2011 pale Mhongolo Progressive Sec. School, form one tu jamaa kaachanga shule akaingia kwenye business za mzee wake.
Hadi muda huu jamaa ana tandamu kama 3, ana malori n.k, maisha haya. Bora nigeishiaga form four tu. Unakuwa kweny ajira muda wote unaishia kwa mwajiri.
[/QUOTEMaisha akili kaka elimu niyakupa tu mwanga
Naomba na mie hiyo mbinu mkuu maana naelekea kukata moto!pole ila hujachelewa njoo nikupe mbinu
Muache mwanetu anamambo mengi, degree mbili unadhani mchezo madam.We niache nimelewa saiv kishez
Sio mchezo aisee..tena ya sheria!🫢Muache mwanetu anamambo mengi, degree mbili unadhani mchezo madam.
Eh mbona jamaa amenyanyua sidiria 😂Ndio hivyo ndugu yangu we acha tu!🥹View attachment 3581031
Nikikumbuka tulikiwa tunakaririshwa archimedes principle nachoka!Elimu yetu ngumu sana, unakalili Physics hadi kichwa kinakuwa kizito hata kufanya biashara.
Kipi kichina hapo?🤣Eh mbona jamaa amenyanyua sidiria 😂