Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,740
Hahaaa ni shida yan ukichelewa namba ni kichapo kwenda mbele
Bado hujakaguliwa fagio na kidumu cha maji, afu walimu walikua walimu kweli tukubali hilo.
aaah tumboo we si umesoma school bus international
Si mahali pake hapaMe nakumbuka enzi hizo ukichelewa namba inakua issue.
Me kiranja alikua rafki yangu,nikichelewa anaongeza moja ya kwangu ad wengine wakawa wananuna....
Si mahali pake hapa
Me kiranja alikua rafki yangu,nikichelewa anaongeza moja ya kwangu ad wengine wakawa wananuna....
Me kiranja alikua rafki yangu,nikichelewa anaongeza moja ya kwangu ad wengine wakawa wananuna....