Mwembetayari
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 331
- 125
We Tanzania, we have everything in our country tofauti na nchi nyingine za EAC ambazo maisha ya watu wao wanategemea Tanzania. Huwezi kukuta Watanzania wapo Kenya, Uganda au nchi nyingine yoyote ambayo ni member wa EAC wakihangaika hovyo kama Wakenya na Waganda wanavyohangaika. Wakenya bila ya Tanzania watakufa njaa na wataua kama kuku. To Hell EAC
Watanzania hawako Kenya because the average tanzaninan can not afford even a bus or plane ticket to travel to any other country. Logic hii yako inasikitisha and its a good example of just how pathetic our education system is. Shida yetu Watanzania ni xenophobia na uzembe. Kazi yetu ni kuwalaamu wenzetu kwa masahibu yetu. Rwanda overtook us long time ago and we will forever be the poorest and the least developed country in Africa with this mentality. Nimetembea Kenya na Uganda na kama ni midomo na uwezo wa kubishana, Tanzania ni namba moja lakini in everything else we have a problem!