EAC Chief warns Tanzania on regional Integration

Kubali ukweli huna uzalendo na nchi yako. Mtanzania halisi yuko tayari kwa gharama zote kuilinda, kuitetea, na kuiheshimu nchi yake na siyo kutaka kugawa raslimali zetu kisa Jumuia. Wewe unajua kabisa wenzetu wanagombania ardhi yetu, wanagombania ajira, wanagombania uchumi wetu. EU Uingereza imekubali yote lakini si fedha wala kuingiliana hivyo hivyo na ndiyo maana si membe wa Schengen na amebaki na Pound yake
 

Ahsante kwa kuniita mbumbumbu; ila bado hujatoa hoja mbadala zaidi ya povu. Kwa akili kama ya kwako; sahau kabisa EAC kwa maslahi ya wana EAC. Itakuwa EAC kwa wapuuzi kama wewe na akina m7 na pk na ujinga wao.
 
Unajipinga na kujikubali na wala ueleweki. soma ulichoandika mwanzo na unachojibu sasa
 

Kweli sisi waafrika bado tuna safari ndefu. Kwa comments zako hapo juu, sijui kama tutafika
 
This is a very unfortunate statemnent from the SG. Can he confirm if the meetings held in Kampala and Mombasa by the trio head of States were EAC meetings? It is absurd to implicate Tanzania as the one reaping from what it has not planted. In fact if we have to say it is Rwanda which wants to profit from what it has not sweated for! He should retract his statement
 
Absolutely, Membe, Sitta, JK....
What are you waiting for?
Tupa kule we dont want this fu*,en EAC
 
Kweli sisi waafrika bado tuna safari ndefu. Kwa comments zako hapo juu, sijui kama tutafika

Wewe umeshafika?
Ivi mumeo alikuoa kwa lazima?
Sasa sisi tumesema we don't want you na upuuzi wenu go to hell
mkaendelee kuchinjana as usual.
 
UK inatekeleza makubaliano yote ya EU isipokuwa la common currency. Usiwe mwepesi wa kupindisha ukweli.

Pamoja na immigration. Walikataa one border post Crossing in EU, kwamba ukiingia kwa mfano Italy, unapita bila visa ALL EU countries. Walisema hapana kwani wanafikiri kisiwa chao kingejaa wahamiaji na pia hawakuwaamini nchi nyingine zinasimamia vilivyo mipaka yao.
 
we are thinking to shake with blood hands and leave clean.lets stop Eac issues for our own security. We aren't safe in Eac.
Ukweli muungano ni mzuri lakini kwa vyovyote usihusishe ardhi. Ruanda ukubwa wa kilimanjaro watu 8m. Unategemea nini?
 
nngu007 Seriously tunamtaka Waziri Sitta ajenge hoja ya kumkataa huyu jamaa kuendelea kuwa SG wa EAC--openly biased fellow! Mbona Juma Mwapachu hakuwa hivi?
Wala hakuna haja afukuzwe!! Abaki tu. Sisi tuendelee kuwa na msimamo wetu.
 
Last edited by a moderator:
..Tanzania inasubiri nini kumtimua Dr.Seziraba?

..hivi kweli Dr.Seziraba/Rwanda inaweza kuituhumu Tanzania kwamba ktk EAC tunachuma tusichopanda?

..kwani Rwanda wana mchango gani ktk EAC mpaka wawe na kiburi na dharau kiasi hiki kwa Tanzania?

If you do not understand english better remain silent, read words carefully you will know your comment missed the point.
 

Jamani mwenye maelezo ya hiyo habari ndani ya habari (bolded)naomba anisaidie.
 

Salaam sana mkuu, baada ya salaam ningependa kujua ni kwa nini michango yako mingi humu jamvini inatawaliwa mara nyingi na lugha za jazba na mara chachae matusi. Cha msingi ni kukubali kutofautiana kwa kutumia nguvu ya hoja na wala isiwe hoja ya nguvu. Ushauri wangu ''just try to control your emotions and feelings and that will justify how civilised, cultured and refined you are''.
 
Heshima sana wanajamvi,

Dr Sezibera ni nani ?.

Dr Sezibera ni Mnyarwanda (Mtutsi) na ni daktari wa binadamu aliyosomea chuo kikuu cha Makerere Uganda na baadae akachukua shahada ya uzamili (Master of Arts) chuo kikuu cha Georgetown Marekani.

Amewahi kufanyakazi ya udaktari Mbuyu Hosipital na Mbale Hospital zote za nchini Uganda kabla hajajiunga na kikundi cha kigaidi RPF akihudumu kama daktari wa jeshi kwa muda mrefu hadi akafikia ngazi ya Major.Mwaka 1994 Dr Sezibera aliteuliwa kama daktari wa Rais Kagame kabla hajateuliwa nafasi ya ubalozi na baadae waziri wa afya.

Dr Sezibera ni mwanajeshi mtiifu wa kundi la RPF ambao ajenda yao kubwa ni kuhakikisha kabila la watutsi linatawala Rwanda na Uganda na hatimaye waitawale EA yote.Dr Sezibera ni kikaragosi cha Dictator Kagame yuko Arusha kukamilisha kazi haramu ya kuhalalisha utawala wa kitutsi EA baada ya kufanikiwa kukandamiza kabila la wahutu walio wengi Rwanda.
 
UK inatekeleza makubaliano yote ya EU isipokuwa la common currency. Usiwe mwepesi wa kupindisha ukweli.
Kama uk inaweka reservation ktk baadhi ya makubaliano ya EU, kwa faida za wananchi na uchumi wa UK...why tanzania inapofanya hivyo for the benefit of her pple na uchumi wake inakuwa issue...unadhani kenya atakubali itumike sarafu moja in EA....au tunaleteana ujinga hapa....au kunyata anyate kinyonga tu akinyata kicheche mwizi wa kuku
 

Ninapozungumza sisi namaanisha nchi, na of course pamoja na kufutwa kwa azimio la Arusha kufutwa bado hata mwananchi wa kawaida anaweza kumiliki ardhi mahali popote nchini tofauti na nchi nyingine. Ndio maana tunasema ardhi ni yetu

Kuhusiana na fursa hatuhitaji kuingizwa kwa nguvu kwenye jumuia ili kutumia fursa ambazo hazionekani. Tanzania inafanya biashara vizuri sana na UK, Kenya, South Africa, China na US. Tunaweza kuendelea kufanya biashara na kuchukua fursa nyingine ktk hizo nchi, na hii yote si lazima iwe ktk shirikisho la kisiasa. Globalizatio haiwezi kukuruhusu ukae pekee pekee tu, lazima u-interact na wengine lakini sio kulazimishana fursa.
 
among others jamaa waliogma influx ya mafia mob frm ciseros.........duh jamaa noma hao
 
FYI kuna watz wachache sana, au kua mkweli zaidi, ktk EA kuna wachache sana wanaonizidi ilmu dunia, alhamdullilah, and from your tactless writings you seem not to be one of them. Hilo la kwanza.

Pili kwamba watz wameshindwa kuyatawala mazingira yao, hata kama lina ukweli itakua ni upumbavu kuwa-integrate na wasio-nacho kama ulivosema, which is self-conflicting in the first place, hujui kua integration ita-grant wananchi wote EA access to land, jobs and business opportunities? Is this how you empower the 'weak tanzanians'?. Your sense of reasoning is hodge-podge of diarrhea, matapishi na makamasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…