DW is a special smearing campaign to Magufuli's administration!

DW is a special smearing campaign to Magufuli's administration!

MKUU hebu onesha ubovu wa kiingereza hiki cha jamaa. onesha makosa yake katika hata sentensi tano halafu andika kwa usahihi wake. please nakuomba ili watu wasije wakakuona nawe hujui ila inafuata tu mkumbo. wahakikishie kuwa unakijua kiingereza onesha ubovu wa kiingereza cha huyu jamaa na weka usahihi wake. nakusihi sana.

Upuuzi. Kiingereza kibovu.. unadhani Wajeruman watasoma wakuonee huruma? Si kweli yote ya DW au unadhani wao wanampapatikia kiwehu kama wewe?
 
MKUU hebu onesha ubovu wa kiingereza hiki cha jamaa. onesha makosa yake katika hata sentensi tano halafu andika kwa usahihi wake. please nakuomba ili watu wasije wakakuona nawe hujui ila inafuata tu mkumbo. wahakikishie kuwa unakijua kiingereza onesha ubovu wa kiingereza cha huyu jamaa na weka usahihi wake. nakusihi sana.

Hujalazimishwa kuandika lugha ya malkia kama huna ufasaha wake wa kutosha! Ungetoa mifano ya hizo taarifa unazodai ni za "kumpaka" Raisi Magufuli watu wangechangia kwa uhalisia zaidi. Vinginevyo na wewe ni mchochezi unayetaka kumchonganisha Raisi na DW!!!
 
U

Unataka imsifie magu kama wafanyavyo tbc au umejiuliza jinsi tbc inavyoreport mamba ya upinzani tz mpaka unapata shida upinzani wenye mdogo ikilinganisha na ccm lkn tbc imenga'ng'ana kutaka kuuwa wapinza baadhi wananjaa lkn tbc inataka kuuwa sasa kwanini hautaki kuionyesha tbc chombo cha taifa kuwa inakosea unakimbilia dw chombo cha watu tena unalaumu bila mifano sasa huu ni umbea tu
Ni kazi yako kuonesha hivyo...by the way ni mara ngapi TBC imesemwa humu?
 
Halafu hiyo Hitler wewe binafsi alikukosea nini?
 
jingalao mtu asiyekubali kukosolewa huyo atakuwa na walakini mkubwa... Kama Radio Deuch welle wanakosoa huo ni mtazamo wao. Huwezi kuzuia mitazamo ya wengine juu yako.... Your duty is to perform better so that you can prove them wrong.... Only cowards can afraid challenges
Ila hawa nao huwa wanaangalia upande mmoja tu wa mabaya alafu wao ni Media ya kimataifa inaonekana Duniani kote wapunguze na mazuri pia waoneshe
 
DW isnt Radio Uhuru, TBC or Uhuru Newspaper where by these are just here for propaganda. and i am sure there is no need for them to run any campaign against magufuli. for them having a different point of view isnt a sin or we cannot treat them like traitors. the question is do they speak the truth or accuse him falsely? lets discuss what they broadcast not them. and we shouldn't regard them like Germans lets regard them like journalists and this will give us a wide chance to discuss their opinions.
 
Thisi is my opinion concerning the news covarage of DW TV or Radio and its allies in EAC on The President of United Republic Of Tanzania.

Since the 2015 election in Tanzania DW and allied news outlets have been against the president John Pombe Magufuli without a clear reason.

It is a clear fact ,basing on all news articles since 2015 election campaigns and onwards this media(DW) has never been positive to Magufuli.

All the news from DW since election campaigns were against Magufuli and now they are aggressively smearing Magufuli's presidency.

Iam not sure if this is just a professional work from DW journalists or a work of one person/interested party ?

What Iam trying to warn and address is a fact that a good and trusted media like DW should not be involved in Tanzania politics in a biased and provocative way.

DW and German goverment has since been in a good faith to Tanzania and her goverment.

German Goverment through their Embassy/envoy and representation to Tanzania had officially asked Tanzania and therefore Tanzanian president's support to vote for German in permanent UN SECURITY COUNCIL MEMBERSHIP....

We as Tanzanians will never forget and forgive the ruthlessness of German's governance in Tanzania.

We as the elder citizens of Tanzania will never forget the brutality of Germans in the villages of Tanzania!

Today if you mention about dictatorship ..you are just remind us of A Great dictator in the world...HITLER!!

Is Magufuli a bulldozer than Adolph Hitler?

Samahani kwa kingereza kibovu lakini ni lazima tuwaambie hii redio ya wakoloni wetu kuwa upuuzi wao umefika mwisho.
References are better than hypothesis.
 
wewe tu ndiyo unajua au kama vile hakuna mtanzania asiyejua ubaya wa chama chetu pendwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kata 42 kati ya 43 zinasema CCM bado ni chama pendwa
 
Kama wana chadema mtakuwa wanafiki kuwaeleza DW sisi wazalendo tutawaeleza tu
Una uzalendo gani jinga lao wewe jinga? Wakati nyumba za serikali zinauzwa jinga ulikuwa wapi? Wakati mikataba ya gase ina pigiwa ndio jinga ulikuwa wapi? Wakati kivuko cha bagamoyo kinapelekwa geshini jinga ulikuwepo? Ulisimama wapi kwenye haya
 
jingalao

Mtu anajichafua mwenyewe,halafu watu wakisema huyu mchafu, unawalaumu wale wanaosema huyu mchafu kuwa wamemchafua?

Unavyomfananisha Magufuli na Hitler, kwani DW wamemsifia Hitler?
Nimeona huu mfananisho nikaona huyu jingalao hata kama kuna posho kapewa kuandika bora wazichukue
 
The one who raised issues needs to demonstrate / prove the same beyond reasonable doubt and not otherwise.
Go google my friend...I can not attach all news from DW.
Stop being lazy...go and read the articles from DW about President Magufuli and come back with a single article which is positive.
 
Back
Top Bottom