DW is a special smearing campaign to Magufuli's administration!

DW is a special smearing campaign to Magufuli's administration!

Kama ka hostel tu kachemsha unataka asifiwe kwa yapi??

5e2277b5a0327246ebc73aff5e3f8679.jpg
022d9518660d6aff7f828b1aeb105f61.jpg
b1a23f267b9bbcbd2e9f1de131a27161.jpg
 
Go google my friend...I can not attach all news from DW.
Stop being lazy...go and read the articles from DW about President Magufuli and come back with a single article which is positive.
Just provided one issue / topic / agenda which was misreported by DW
 
Media zote kubwa zinakimbizana na Trump hadi inafika wakati mtu unaogopa jinsi wanavyo mchafua Trump na Trump anao uwezo wa kuvifungia hivyo vituo lakini hana mda navyo yy anachanja mbuga tu na Marekani yake

Ujanja ni kuwaacha watu waonge wakukosoe ili mradi tu wasilete machafuko na fujo ndani ya nchi yako,

Kim katengwa na dunia lakini anachanja mbuga tu hana time na mtu, lakini hapa kwetu serikali inasimamisha shughuli zake wanapambana na mtu Mage Kimambi
 
utasemaje kitu ambacho ukisikilizi?????????????
Mbona hueleweki?
Zipo threads na comments lukuki humu jamvini zinazoisema na kuichana TBC...kama wewe ni mgeni chukua muda uzitafute na kuzisoma.
JF ni google ya Tz
 
Thisi is my opinion concerning the news covarage of DW TV or Radio and its allies in EAC on The President of United Republic Of Tanzania.

Since the 2015 election in Tanzania DW and allied news outlets have been against the president John Pombe Magufuli without a clear reason.

It is a clear fact ,basing on all news articles since 2015 election campaigns and onwards this media(DW) has never been positive to Magufuli.

All the news from DW since election campaigns were against Magufuli and now they are aggressively smearing Magufuli's presidency.

Iam not sure if this is just a professional work from DW journalists or a work of one person/interested party ?

What Iam trying to warn and address is a fact that a good and trusted media like DW should not be involved in Tanzania politics in a biased and provocative way.

DW and German goverment has since been in a good faith to Tanzania and her goverment.

German Goverment through their Embassy/envoy and representation to Tanzania had officially asked Tanzania and therefore Tanzanian president's support to vote for German in permanent UN SECURITY COUNCIL MEMBERSHIP....

We as Tanzanians will never forget and forgive the ruthlessness of German's governance in Tanzania.

We as the elder citizens of Tanzania will never forget the brutality of Germans in the villages of Tanzania!

Today if you mention about dictatorship ..you are just remind us of A Great dictator in the world...HITLER!!

Is Magufuli a bulldozer than Adolph Hitler?

Samahani kwa kingereza kibovu lakini ni lazima tuwaambie hii redio ya wakoloni wetu kuwa upuuzi wao umefika mwisho.
Holy crap from jinga lao and Lumumba team. They want all people to think alike and see the devil as an angel.

Wenzenu wanatoa hoja jibuni kwa hoja SMG za nini?
 
Media zote kubwa zinakimbizana na Trump hadi inafika wakati mtu unaogopa jinsi wanavyo mchafua Trump na Trump anao uwezo wa kuvifungia hivyo vituo lakini hana mda navyo yy anachanja mbuga tu na Marekani yake

Ujanja ni kuwaacha watu waonge wakukosoe ili mradi tu wasilete machafuko na fujo ndani ya nchi yako,

Kim katengwa na dunia lakini anachanja mbuga tu hana time na mtu, lakini hapa kwetu serikali inasimamisha shughuli zake wanapambana na mtu Mage Kimambi
Hujaona tweets za Trump dhidi ya CNN?
Mimi sijasikia Serikali ikisimamisha shughuli kwa ajili ya mtu...badala yake nimeona utekelezaji wa kawaida wa majukumu ya waliopewa kazi za kusimamia na kutekeleza Sheria.
 
Holy crap from jinga lao and Lumumba team. They want all people to think alike and see the devil as an angel.

Wenzenu wanatoa hoja jibuni kwa hoja SMG za nini?
For three years hoja yao ni Magufuli kuwa mbaya tu?
 
Wewe unaleta habari za Hitler, Hitler anatuhusu nini sisi Watanzania?. Wajerumani wengi wa leo hawazipendi sera za Hitler

Nimeona unazungumzia madhila waliyotufanyia Wajerumani, ni matumaini yangu badala ya kuishia kulaumu wajerumani ni bora uitake Serikali ya Tanzania ikusanye ushahidi Ikashitaki kwenye mahakama za kimataifa tulipwe fidia. Otherwise hizi siasa za manyanyaso ya kikoloni unazoleta zilifanywa enzi hizo tunadai uhuru, zimeshapitwa na wakati!
Well said mkuu [emoji122]
 
Hiyo Dr ni halisia au ni ile ya akina Majimarefu? Au ni zile Dr za nyufa za mabweni ya chuo?

Very poor argument! Ni mali gani Wajerumani walificha Tanganyika? Au na wewe ni kati ya wale wanaoshinda wanafukua survey reference points zilizowekwa kwenye milima na Waingereza na Wajerumani, wakisema chini kuna madini yamefichwa?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
I tried to let this go but I'll swallow my reticence and respond:
1. Your opinion cannot be a universal fact. Therefore the premises of your "facts" are already flawed. I won't even mention the lack of the said "allies" and "all their articles".
2. If you believe that what they're writing is inaccurate, false, without public taste or otherwise illegal/unethical, you have every right to report them accordingly. Otherwise, you can be sued for defamation.
3. DW is a public international organ but not the German government or it's people. It's an independent media -- maybe you may not comprehend?
4. No independent media is there to do PR for you. It is a fact that it's not just President Magufuli who is being criticized, numerous world leaders have been and are being criticized and yet they either ignore, respond factually but do not throw tantrums.

We want to be recognised internationally; criticism is part of the package. So either buckle up and trudge on or step out and leave the lime light.

Ni hayo tu kwa leo.
Usisahau maana ya jinga lao. Nikitafisiri "the core of ignorance and stupidity"
 
For three years hoja yao ni Magufuli kuwa mbaya tu?
Wajibu DW kwa hoja siyo kwa kashfa. Kama wanasema uongo eleza ukweli. Ila kwa vile ni jangalao tunashuhudia vioja na vya kutoka kwa Lumumba b7 wakikugongea likes..
 
Wajibu DW kwa hoja siyo kwa kashfa. Kama wanasema uongo eleza ukweli. Ila kwa vile ni jangalao tunashuhudia vioja na vyakotoka kwa Lumumba b7 wakikugongea likes..
Kuna kashfa yoyote hapo?
Read between the lines utakutana na hoja nzito sana katikati ya mistari ya JINGALAO
 
Go google my friend...I can not attach all news from DW.
Stop being lazy...go and read the articles from DW about President Magufuli and come back with a single article which is positive.
Positive ni nini?

Kipimo chako kwamba hii article ni positive ni nini?

Ushawahi kusikia usemi kwamba mbwa akiuma mtu si habari, ila mtu akiuma mbwa ni habari?

Unaelewa kwamba, katika vipimo vya kipi ni habari zaidi, Magufuli kufanya vizuri ni mbwa kuuma mtu na Magufuli kufanya vibaya ni mtu kuuma mbwa?
 
Back
Top Bottom