Duuh kweli Magufuli ni balaa, hata huyu?

Duuh kweli Magufuli ni balaa, hata huyu?

Pamoja na matumizi ya dola,ni wazi kuna udhaifu/kujisahau kwa wapinzani kwa kiasi fulani.Hii ni hatari sana.

Kwa mfano,hivi wapinzani wangeita waandishi na kuhoji kuhusu yanayoendelea huko Chato wangekamatwa?

Mfano mwingine.Kwa kutumia lugha ya kawaida tu wakahoji ni kwanini Bodi haijapeleka fedha vyuoni mpaka wahitimu wananyiwa fedha watakamatwa?

Wanachotakiwa wapinzani kwa sasa ni kutumia lugha ya kawaida tu mradi ujumbe ufike.
upinzani hakuna ndugu yangu...wapiga dili
 
Ni sawasawa na Yanga kuingiza timu uwanjani halafu kutumia jeshi kuhakikisha Simba hiingii uwanjani. Baada ya muda Yanga wanaanza kulalamika mbona hatuoni mtu wa kutukaba tunafunga tu bila ushindani!!? Mkuu ni kwamba sasa mkuu wetu hana uwezo wa siasa za ushindani hivyo amemua kutumia dola kubaki peke yake akiwa anatamba kwamba yuko vizuri. Akitokea yoyote akakosoa anahakikisha anaishia lupango. Ni kwanini anatumia nguvu kubwa kuhakikisha hakuna anayempinga? Kimsingi anaweza kufanya mambo machache mazuri na kuna mengi na mazito hayawezi na kwa jinsi walivyo wapinzani wake watamtaka atekeleze na hayo asiyoyaweza hivyo anaona atafahamika udhaifu wake, njia pekee ni kugomea wengine kukosoa ama kufanya siasa.
 
Pamoja na matumizi ya dola,ni wazi kuna udhaifu/kujisahau kwa wapinzani kwa kiasi fulani.Hii ni hatari sana.

Kwa mfano,hivi wapinzani wangeita waandishi na kuhoji kuhusu yanayoendelea huko Chato wangekamatwa?

Mfano mwingine.Kwa kutumia lugha ya kawaida tu wakahoji ni kwanini Bodi haijapeleka fedha vyuoni mpaka wahitimu wananyiwa fedha watakamatwa?

Wanachotakiwa wapinzani kwa sasa ni kutumia lugha ya kawaida tu mradi ujumbe ufike.
mimi nafikiri hakuna haja ya wapinzani kuongeaongea,huu ukimya kama ni coincidence au ni mipango yao naona ni bora sana maana itafika mahali watu waliochoka kwa hiyari yao watawahitaji wapinzani maana kila mtu ataguswa zamu yake ikifika.
 
Kwa sasa kila mmoja analia kivyake kutokana hali ilivyo kwenye nchi yetu. Popote unapokuwa utalalamika kwa aina yoyote upendayo kutokana na kazi unayofanya. Uwe MWANASIASA, MKULIMA, MTUMISHI WA SERIKALI, AJIRA BINAFSI, AJIRA KWENYE SEKTA BINAFSI N.K utalalamika kwa hali uonayo kwenye eneo lako. Uvumilivu na subira inatubidi tuvishike kwa magego ili kupata salama kwenye nchi yetu ya AHADI
 
Kwa sasa kila mmoja analia kivyake kutokana hali ilivyo kwenye nchi yetu. Popote unapokuwa utalalamika kwa aina yoyote upendayo kutokana na kazi unayofanya. Uwe MWANASIASA, MKULIMA, MTUMISHI WA SERIKALI, AJIRA BINAFSI, AJIRA KWENYE SEKTA BINAFSI N.K utalalamika kwa hali uonayo kwenye eneo lako. Uvumilivu na subira inatubidi tuvishike kwa magego ili kupata salama kwenye nchi yetu ya AHADI
Kila mtu na msalaba wake
 
Ujue hii nchi sasa imefika stage kila mtu hajui afanye nini. Na kila anaye ongea hajui kesho kitampata nini.
Tuko kwenye mida migumu kweli
acha kudanganya wewe,umeongea mara ngapi toka Magufuli achukue nchi,mbona una dunda tu
 
Mm nashukuru,kama mmeona umuhimu wao,mpaka mnataka wahoji ujenz huko chato,bodi kuchelewa kupeleka fedha.wanaumuhimu wao.
Umuhimu wao upo lakini wasubirie kuhoji baada ya miaka 10 kama history kwa sasa hawawezi washaingia baridi lete mdomo hujui sheria unasweka ndani
 
Nauliza wa chama flan je nyinyi mnapandishwa madaraja,je ajira zipo,kwenu maisha yakoje,mnaishije ninyi na Hawa wa ufipa kwao yakoje nao wanaishije,wapenda vyama ni mzigo
 
Acha aongee mwenyekiti wenu maneno huwa yanaisha zinabaki hekima tu
 
Back
Top Bottom