Duuh kweli Magufuli ni balaa, hata huyu?

Duuh kweli Magufuli ni balaa, hata huyu?

Hahahahaha sio ukawa tu hata wewe Ongea pumba humu uone kama hawaja kugoogle chap
 
Wewe tulia kuna Special Unit ya 800KVA ikikunanasa hata kwa sekunde 7 tu na kukuachia siasa na ukifukunyuzi unaachana navyo muulize Litsu Lee, Uhuru wa tz na Yule mwenye jina la Allah kuacha mkubwa kabla ya Eduardo De Santos watakupa singeli.
 
Aiseeeh si kawaida kabsa kwa tunayo yaona yanatokea kwa sasa ndani ya NCHI yetu juu ya Baadhi ya WANASIASA maana wapo kimya tofauti na tulivyoi wazoea.....
Mfano mdogo ni mzee wetu EDO si kawaida kabsa kuona yupo kimya ajapita pita mahali na kuongea for almost two weeks sasa...je hii ina ashiria nini?????
Kwa upande wa CHADEMA napo hali si shwari kabsa.....KIMYA kimezidi mno kupita maelezo....Hii ina ashiria HALI NI TETE UFIPA pumzi imekata.......Na ni aibu chama kikubwa kama CHADEMA kutokuwa na PLAN B ya kupambana na SERIKALI baada ya PLAN A kushindwa kabsa kufanya KAZI hiki ni kiashiria kimoja kikubwa kabsa ya kuwa HAWA BADO SANA kuwa TAYARI kuongoza NCHI HII......

USHAURI...Wale vijana wenye mapenzi mema na HIKI CHAMA ebu pazeni sauti zenu kwa kuanzisha HASHTAG na kuprint fulana za KUHIMIZA reformation ya hiki CHAMA na ikiwezekana hata MAANDAMANO YA AMANI ili tuone na REACTION YA CHAMA JUU YA MAANDAMANO YANAPOFANYIKA KWENYE UPANDE WAO ni hatua zipi wanazozichukua ISIWE maandamano ni kwa SERIKALI TU.....
maana hata sisi tuliowengi tungependa kuona TUNA UPINZANI ULIO IMARA NA MADHUBUTI WENYE MALENGO THABITI ya kupambana na SERIKALI VILIVYO ili NCHI HII ipate maendeleo yanayo stahili...
HONEST INA HUZUNISHA SANA KUONA AINA YA UPINZANI TULIO NAO NDANI YA NCHI HII KWA SASA......
Vipi chama cha Mapinduzi kinazungumza au na chenyewe kiko kimya? Maandamo ya mshikamano yako wapi ICU au kaburini?
 
Mzee Magufuli anachapa kazi...ndio maana hao ulowasema hawana cha kusema sasa na ukizingatia kukaa kimya ni busara pale unapoona mambo yanaenda sawa...
 
Wapinzani wanatakiwa kupiga kimya kwasasa ,atleast ubaki mwaka mmoja na nusu wawe washakusanya data za kutosha kuongea,acheni kidogo watu waisome namba ili akili ziwakae sawa,vinginevyo sasa utafungwa tu
 
Akili za wapinzani lazima zipigwe ganzi maana mirija yao ya hela imeminywa..Mwafaa![emoji23][emoji23]
Tatizo La Magufuli Hawezi Kabisa Unafiki Wa Kisiasa. Yeye Ni Battle- Battle!

- Kipindi Cha Kikwete Ulikuwa Unakutana Naye Anakupa Deal, Lakini Ukipanda Majukwaani Unamponda Utakavyo. Magufuli Wapinzani Walivyoponda Ndege Kwa Kuziita Pangaboi, Siku Walivyozipanda Aliwapiga Vijembe. Yaani Sasa Hivi Hata Wazee Wa Mitandao Serikalini Kama Lowassa Na Mbowe Hawana Connection Yoyote Serikalini Na Jamaa Kawaweka Mbaliii Hataki Hata Mazoea
 
Akili za wapinzani lazima zipigwe ganzi maana mirija yao ya hela imeminywa..Mwafaa![emoji23][emoji23]
Mirija ya 51% ya hisa za UDA na mirija ya Lugumi, mirija ya rushwa ya million 10 kwa kila mbunge wa ccm, pia usisahau mirija ya white elephant projects zinazofanyika chato.
 
Mnaogopa mawe kuongea? Naona mnakimbia vivuli....ongeeni sisi wengine tuwasikilize
 
baniani mbaya kiatu chake dawa.
hakuna mtu asiye jua siri ya maisha yake mpaka katokaje tukiangalia wa tz na serekali iliyopita.siku zote tulitaka haki.basi haki ndo hii
 
Mkuu hata wakereketwa wa-CHAMA mtaani wamebaki wamepigwa na butwaa hawajui Plan B ya kuokoa chama maana wameshajua dereva kalewa tembo.
Yale waliyokua wanayapazia sauti ndiyo yanayotekelezwa sasa wapige kelele gani tena?Imebakia kidogo tu watavunja ukimya na kuanza kusifu.
 
Tatizo la wapinzani ni ile lugha wao wanafikiri watasikika wakitoa kashfa na matusi na dharau ya kuwaona wengine hawajui na hawajasoma...... Toroka uje!!!!!!!
Nyerere alimwambia Mrema mwaka 1995 kuwa; Jikite kutafuta wabunge achana na uachane na urais chama chako bado legelege but hawakumuelewa mzee Mchonga. Hadi leo wameshindwa kusimama na wataendelea hivyo. Fuatilia siasa za Kenya kuelekea uchaguzi 2017 utajifunza wale jamaa wanajua siasa
 
Back
Top Bottom