Duu!hi kali.

Landala

JF-Expert Member
Dec 24, 2010
997
473
Kweli uswahilini kuna mambo,juzi umeme ulikatika c mnajua 2po kwenye mgao,sasa kipindi wanachakachuana demu akawa anapiga kelele na pia KUMSALIMIA MSHIKAJI WAKE SHIKAMOO!SHIKAMOO!SHIKAMOO!yaani hadi kero kwa wapangaji wengine.Jamani akina dada punguzeni mizuka wakati wa kuchakachuana.
 
Ungeitikia marahaba kwa sauti mpaka asikie angenyamaza
 
Mmmhh Lundala wewe hebu acha uongo bana wakati wa majambozi hiyo Shikamoo hata kama kaisema haitasikikia kavu kavu kihivyo unless uniambie ni wewe ndo alikuwa anakwambia shikamoo vinginevyo huo ni uongo maneno huwa hayatoki mazima mazima
 
Mmmhh Lundala wewe hebu acha uongo bana wakati wa majambozi hiyo Shikamoo hata kama kaisema haitasikikia kavu kavu kihivyo unless uniambie ni wewe ndo alikuwa anakwambia shikamoo vinginevyo huo ni uongo maneno huwa hayatoki mazima mazima

Ndugu yangu Dena Amsi hiyo stori ni ya kweli kabisa,kumbuka 2kio limetokea umeme ukiwa umekatika hivyo ucku huo kulikuwa kimya,dirisha langu na la huyo mpangaji mwenzangu yanatazamana hivyo hizo shikamoo zilikuwa zinatoka kwa sauti kubwa na nikawa ninazickia.
 
maneno huwa hayatoki mazima mazima

mmmhh kumbe kweli coz niliwahi kusikia story ya mzungu aliyewahi kuhoji kuhusu nyeto. Akambiwa ukitaka kujuwa habari yake, na ww piga huku ukihesabu 1 hadi 5. Kaenda kupiga lkn kuhesabu alishindwa co anaishia "moj mbil tat mbil tat mbil tat, moj moj moj mbil tat mbil tat mbil tat" Habari ndo hiyo
 
Sasa haya katoa shikamoo we inakukera nini

Imeniletea kelele ambazo zilifanya nikachelewa kulala,kesho yake asubuhi waliockia walimwekea kikao bibie wakamuambia kuwa apunguze kelele wakati wa uchakachuaji.
 
Mmmhh Lundala wewe hebu acha uongo bana wakati wa majambozi hiyo Shikamoo hata kama kaisema haitasikikia kavu kavu kihivyo unless uniambie ni wewe ndo alikuwa anakwambia shikamoo vinginevyo huo ni uongo maneno huwa hayatoki mazima mazima
hilo nalo neno,
rudia wewe hiyo shikamoo ingetokaje?
 
Imeniletea kelele ambazo zilifanya nikachelewa kulala,kesho yake asubuhi waliockia walimwekea kikao bibie wakamuambia kuwa apunguze kelele wakati wa uchakachuaji.

kw cku thread mbili!!!
 
Mi napata shida na hili neno kuchakachua sielewi hasa wapi linatakiwa litumike na kwa makusudio gani. Kwa mtazamo wangu labda lingetumika wakati watu wamesalitiana hivi, mtu amegonganisha mabwana n.k maana lilikoanza kujulikana zaidi ni baada ya uchanganyaji wa mafuta (Uchakachuaji)
 
Ndugu yangu Gazeti we angalia sentensi imeanzaje mpaka kufikia kutajwa hilo neno ili upate maana kamili
 
Duh wakati ana amkia mshikaji wake na yeye angekua anajibu kwa kelele, marahaba marahaba duh wangetengeneza singo kali mbayaaa!
 
Ikifikiaga hapo hapo mwanamke anakuwa hajielewi hata ukija kumwambia baada atakataa kabisa........
 
Kweli uswahilini kuna mambo,juzi umeme ulikatika c mnajua 2po kwenye mgao,sasa kipindi wanachakachuana demu akawa anapiga kelele na pia KUMSALIMIA MSHIKAJI WAKE SHIKAMOO!SHIKAMOO!SHIKAMOO!yaani hadi kero kwa wapangaji wengine.Jamani akina dada punguzeni mizuka wakati wa kuchakachuana.
Labda dudu lilikosea mlango na likapitia dirisha la uani....! Si umesema umeme umekatika?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom