Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Dushelele Lake, Linanitia Hofu...

Grace Komba

Senior Member
Joined
May 26, 2013
Posts
131
Reaction score
48
Nina Mchumba Wangu, nina uhusiano naye takribani mwaka sasa.

Nampenda, na naamini ananipenda(si usemei moyo), kwa kuwa tunaishi kwa maelewano na upendo wa hali y juu.

Mwezi Jana tu, alileta barua ya kishika uchumba hapa kwetu, na imepokelewa vizuri, lakini bado haijajibiwa.

Na Mtu anaye kwamisha kujibiwa kwa barua hiyo ni mimi mwenyewe.
Natamani nitoe jibu la NDIYO, lakini napata hofu juu ya hatma ya ndoa yangu.

Kiukweli, Dushelele la bwana huyo, huwa nalihisi linaongezeka ukubwa kila kukicha, mwanzoni wakati tunaanza nilikuwa naona tuna match kwenye papuchi zetu.

Lakini Kadri Siku Zinavyo songo mbele, naona dushelele lake linazidi kukuwa, kiasi ambacho naanza kusikia maumivu wakati wa mechi.

Nimejaribu Kumuuliza, labda kama ametumia dawa, lakini amekataa, na kudai hata yeye mwenyewe hajui kwanini hali iko hivyo.

Sasa Niko Njia Panda, Najiuliza Nikikubali Kuolewa Nae, Huko Kwenye Ndoa Mambo Yatakuwaje?

Na kama nikikataa, je nitawapa sababu gani wazaz wangu???

Ndoa Naitaka, Lakini Mmmhh...?!!
 
Unatakiwa kua mkweli mbele ya jamii yako, waambie Dushelele ya huyo jamaa ni kubwa na kwamba inakumiiza mnapo kua kwenye game, pia unachoogopa zaidi kadri siku zinavyo kwenda ndio linazidi kua kubwa. Au unaonaje>

Niwajibu Nini Wazazi Wangu, Maana Wanashangaa Kwanini Sitoi Jibu,
NISAIDIE
 
Mmmhhhh kama unaona huwez mshedede bas kataa......wapo watakaohimili.
Haiwezekani kila siku unaongezeka sio kucha hizoo,inawezekana kuna kitu katumia!!!!



Nalihisi Hilo, maana hawa wanaume wamekuwa HAWAJIAMINI kimaumbile ya du.du zao, usikute kashapaka/ kunywa mchina...

ila cha ajabu hata yeye, yuko frustrated na hali hiyo
 
Hapa naona su su zinaleta shida........sasa itakuwaje.......?
 
Papuchi yakike huwa inaongezeka pia siku zinavyokwenda kwahyo usiogope!chamuhmu mfanye kwa siku hata mara 3 ili yako nayo iwekubwa

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nina Mchumba Wangu, nina uhusiano naye takribani mwaka sasa.

Nampenda, na naamini ananipenda(si usemei moyo), kwa kuwa tunaishi kwa maelewano na upendo wa hali y juu.

Mwezi Jana tu, alileta barua ya kishika uchumba hapa kwetu, na imepokelewa vizuri, lakini bado haijajibiwa.

Na Mtu anaye kwamisha kujibiwa kwa barua hiyo ni mimi mwenyewe.
Natamani nitoe jibu la NDIYO, lakini napata hofu juu ya hatma ya ndoa yangu.

Kiukweli, Dushelele la bwana huyo, huwa nalihisi linaongezeka ukubwa kila kukicha, mwanzoni wakati tunaanza nilikuwa naona tuna match kwenye papuchi zetu.

Lakini Kadri Siku Zinavyo songo mbele, naona dushelele lake linazidi kukuwa, kiasi ambacho naanza kusikia maumivu wakati wa mechi.

Nimejaribu Kumuuliza, labda kama ametumia dawa, lakini amekataa, na kudai hata yeye mwenyewe hajui kwanini hali iko hivyo.

Sasa Niko Njia Panda, Najiuliza Nikikubali Kuolewa Nae, Huko Kwenye Ndoa Mambo Yatakuwaje?

Na kama nikikataa, je nitawapa sababu gani wazaz wangu???

Ndoa Naitaka, Lakini Mmmhh...?!!
Hii haichekeshi lakini imenibidi nicheke, anyway pole sana dada!

Kwa mtazamo wangu nafikiri ni busara kabisa kuweka tatizo hili wazi kabla hamjaingia kwenye commitment kubwa kama ndoa. Sasa kwa kuwa umemuuliza na yeye amekiri kwamba ni kweli mambo hayako sawa na yeye pia hajui tatizo, ni bora mkawaona wataalam wa afya ili waweze kuwapa majibu ya kitaalamu yanayoeleweka ambayo ndiyo yatakayowapa mustakabali wa kuendelea kwa ndoa yenu ama la.

Naamini mapenzi hasa tendo la ndoa ni furaha sasa linapogeuka kuwa karaha sidhani kama ni kitu cha kukaa nacho kimya. Kabla ya wazazi hawajakuuliza sababu hasa ya wewe ku hold back, mshauri mwenza wako mkaonane na madaktari ili kuona kama kuna ufumbuzi wa tatizo lake, isije kuwa unajifanya unavumilia mara kitu kikatokea mdomoni siku moja bure.

Ni hayo tu dada Grace Komba, pole though
 
Last edited by a moderator:
Waeleze ukweli wakusaidie, kuna dawa za kuongeza mpwehele ili uendane sambamba na dushelele la mpenziyo. Wahaya wana dawa hizi



Eehh...
Niongeze Saizi Ya Mpwehele Wangu, Mimi Huwa Nasikia Wanaume Wanapenda Ndogo Ndogo, Ama?
 
Unatakiwa kua mkweli mbele ya jamii yako, waambie Dushelele ya huyo jamaa ni kubwa na kwamba inakumiiza mnapo kua kwenye game, pia unachoogopa zaidi kadri siku zinavyo kwenda ndio linazidi kua kubwa. Au unaonaje>

Natamani Nifanye Hivyo, Ila Kupenda Nako Kunanipa Kizunguzungu
 
Hmmm. . . Labda yakwako ndio inakuwa ndogo kadri siku ziendavyo. . .Hehehehe


Hapana... Nakumbuka Mwezi Wa june, Niliipima Size Ya Dushele Lake, Nikarudia tena mwezi july, na nimeipima tena mwezi huu august, huwezi AMINI kila mwezi inaongezeka urefu kati ya 1.3cm na 2cm, upana na unakuwa kwa taratibu kama 0.3 kwa mwezi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom