Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,423
- 31,451
- Thread starter
- #21
TATIZO LA KAULI YA TRUMP
Yupo katika rekodi akisema atapiga Marufuku waislam kuingia US kabla ya kupunguza makali
Uwepo wa makundi ya kigaidi yanayojihusisha na imani hauna maana imani nzima ni magaidi
Ingalikuwa hivyo tungekuwa na magaidi wa kiprotestanti, magaidi wa kilutheri au Roman
ISIS wanajihusisha na Uislam kuungwa mkono tu. Wanayofanya hayafanani 1%
Watu wa kufanya nao kazi ni Waislam ambao ni victims wa ISIS kuliko watu wengine
Si kweli kuwa wakristo walizuiwa kuingia US kuliko Waislam.
Katika nchi kama Syria/ Iraq waislam ni wengi na rahisi kupata 80% vs 20% kwa 100.
Pamoja na hayo takwimu zinaonyesha wote walipewa fursa sawa.
Kauli hii ilimlenga Obama kuwa aliwabagua Wakristo jambo lisilo kweli
Kutoa kipaumbele kwa Wakristo kwa msingi ni vulnerable kwa persecution hakuna ukweli
Ukishakuwa persecuted tayari ni victim of circumstance bila kujali imani , dini au kabila
Sunni ni victim wakubwa wa Shia. Wana haki ya ukimbizi popote pale kwa def ya ukimbizi
Tatizo jingine ni nchi saba alizowekea 'vikwazo vya visa' zitazua mjadala vigezo
Hakuna sababu ya nchi hizo kulalamika, mijadala US unatosha kuamsha hisia kilichofanyika ni alichosema kuzuia Waislam' wasiingie US ambayo kama Rais ana haki
Kuna resentment katika mataifa 7,yataungwa mkono kichini chini na wenye imani hiyo
Mapambano ya ugaidi yatachukua sura tofauti kwa kauli za awali hata kama zilikuwa katika kampeni au ni sahihi kwa mujibu wa free speech
Kwa wanajamvi, mijadala kama hii haishii US. Ni Taifa kubwa na athari zinafika kila kona. Kwa haraka unaweza kuona ni Mataifa saba yenye matatizo ikiwemo Syria
Baada ya muda wa exec order hakuna anayejua sheria gani itafuata na na makali gani
Mtanzania unatakiwa ujiulize kama kipaumbele ni kwa Wakristo kwa mtazamo wa Trump ambao ni haki kama Rais, wewe wa Visa upo kundi gani kama jina lako ni Hussein?
Mohamed Ghaillan aliyefungwa kama Mtazania kwa kushambulia ubalozi wa Marekani
Je , kwa mwendo wa Mzee Trump Tanzania ipo katika kundi gani hata kama si la 7?
Haya ndiyo tunayojadili ili kuona yanaweza kuwa na athari gani kwa ujumla
Wasiotuelewa kwa 'mabandiko yasiyowasaidia' na hafifu wanachaguo la kutosoma, tutaendelea kueleza kile kidogo tulicho nacho huenda mtu akapata kipunje kuliko kuambulia hoja za matusi na ushabiki usio na mantiki kwa kila mtazamo
Tusemezane
Yupo katika rekodi akisema atapiga Marufuku waislam kuingia US kabla ya kupunguza makali
Uwepo wa makundi ya kigaidi yanayojihusisha na imani hauna maana imani nzima ni magaidi
Ingalikuwa hivyo tungekuwa na magaidi wa kiprotestanti, magaidi wa kilutheri au Roman
ISIS wanajihusisha na Uislam kuungwa mkono tu. Wanayofanya hayafanani 1%
Watu wa kufanya nao kazi ni Waislam ambao ni victims wa ISIS kuliko watu wengine
Si kweli kuwa wakristo walizuiwa kuingia US kuliko Waislam.
Katika nchi kama Syria/ Iraq waislam ni wengi na rahisi kupata 80% vs 20% kwa 100.
Pamoja na hayo takwimu zinaonyesha wote walipewa fursa sawa.
Kauli hii ilimlenga Obama kuwa aliwabagua Wakristo jambo lisilo kweli
Kutoa kipaumbele kwa Wakristo kwa msingi ni vulnerable kwa persecution hakuna ukweli
Ukishakuwa persecuted tayari ni victim of circumstance bila kujali imani , dini au kabila
Sunni ni victim wakubwa wa Shia. Wana haki ya ukimbizi popote pale kwa def ya ukimbizi
Tatizo jingine ni nchi saba alizowekea 'vikwazo vya visa' zitazua mjadala vigezo
Hakuna sababu ya nchi hizo kulalamika, mijadala US unatosha kuamsha hisia kilichofanyika ni alichosema kuzuia Waislam' wasiingie US ambayo kama Rais ana haki
Kuna resentment katika mataifa 7,yataungwa mkono kichini chini na wenye imani hiyo
Mapambano ya ugaidi yatachukua sura tofauti kwa kauli za awali hata kama zilikuwa katika kampeni au ni sahihi kwa mujibu wa free speech
Kwa wanajamvi, mijadala kama hii haishii US. Ni Taifa kubwa na athari zinafika kila kona. Kwa haraka unaweza kuona ni Mataifa saba yenye matatizo ikiwemo Syria
Baada ya muda wa exec order hakuna anayejua sheria gani itafuata na na makali gani
Mtanzania unatakiwa ujiulize kama kipaumbele ni kwa Wakristo kwa mtazamo wa Trump ambao ni haki kama Rais, wewe wa Visa upo kundi gani kama jina lako ni Hussein?
Mohamed Ghaillan aliyefungwa kama Mtazania kwa kushambulia ubalozi wa Marekani
Je , kwa mwendo wa Mzee Trump Tanzania ipo katika kundi gani hata kama si la 7?
Haya ndiyo tunayojadili ili kuona yanaweza kuwa na athari gani kwa ujumla
Wasiotuelewa kwa 'mabandiko yasiyowasaidia' na hafifu wanachaguo la kutosoma, tutaendelea kueleza kile kidogo tulicho nacho huenda mtu akapata kipunje kuliko kuambulia hoja za matusi na ushabiki usio na mantiki kwa kila mtazamo
Tusemezane