kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Mrusi alivyoshambulia ukrain nakuchukuwa baadhi ya majimbo ya ukrain
Kuna watu walimuita putin shujaa mbambe wa dunia sijui nini wengine walikwenda mbali wakamuita baba mtakatifu Wa ukrain walivyo jaribu kulalamika nakuomba msaada wa dunia baadhi ya watu waliwaita wanafiki mashoga
Kuna watu uko Wanapewa kichapo kila kukicha wanazunguka mitandaoni wakitaka watu wote tuwaonee huruma
Kwa dunia ya sasa kila mtu na mnyonge wake
Kama nguvu munayo kweli nendeni kupambana kwenye uwanja wa vita uko sio mitandaoni
Kuna watu walimuita putin shujaa mbambe wa dunia sijui nini wengine walikwenda mbali wakamuita baba mtakatifu Wa ukrain walivyo jaribu kulalamika nakuomba msaada wa dunia baadhi ya watu waliwaita wanafiki mashoga
Kuna watu uko Wanapewa kichapo kila kukicha wanazunguka mitandaoni wakitaka watu wote tuwaonee huruma
Kwa dunia ya sasa kila mtu na mnyonge wake
Kama nguvu munayo kweli nendeni kupambana kwenye uwanja wa vita uko sio mitandaoni