Duniani kuna mabara mangapi?

Duniani kuna mabara mangapi?

Siku hizi wanaitwa Australasia....
Yaani Australia na New Zealand na visiwa vyao
Wanaita Oceania(Australasia yenyewe, Polynesia, Micronesia na Melanesia). Sasa hivi visiwa hata havitakiwi kuwa bara moja na Australia maana viko kwenye plate tofauti kabisa.
 
And that makes it okay?
Yaani ili bara liitwe bara lazima liwe surrounded na maji lakini kipande Chao wale wazungu wakaamua Tu kusudi kuita bara na hakuna maji surrounded...na wewe ndo imekubali kama tutusa? seriously??

Mbona walipokwambia Dr Livingston ndo kagundua Ziwa Tanganyika...umeamka na kupinga...
Christopher Columbus kagundua America?waliokuwa wanaoishi kabla hajafika je??


Mbona vitu vingine viko so open...

Hakuna bara linaitwa Europe...
Kama ambavyo Hakuna mtu kutoka Ulaya aliekuja Africa na kusema binadaamu wa kwanza kugundua Mlima Kilimanjaro....wachaga wale na wamasai ni wanyama????
Europe halijazungukwa na maji wala hakuna European plate. Uhuni.
 
Mkuu 9:15 atachanua miguu yote kulia na kusshoto bibi awe wazi
Kama ni mwanamke wa kawaida tu hawezi labda we anafanya mazoezi sana na viungo vyake ni flexible. Mwanamke wa kawaida atachanua mwisho 10:10. Wachache sana ndiyo wataweza kuchanua hadi 9:15
 
Africa
Europe
Asia
Australia
South America
North America
Antaktika.
Mbagala
 
Back
Top Bottom