Duniani kuna mabara mangapi?

Duniani kuna mabara mangapi?

Nimekupa vyanzo umeviona?
Au ulifikiri nimetunga kichwani?

Watu washajadili na kujua why wagiriki waliita Europe continent Kwa makosa ya kibaguzi kama walivyoita wazungu binadaamu wa kwanza kugundua Mlima Kilimanjaro na mengineyo
Bado sijaona chanzo cha hiyo definition yako
 
Bado sijaona chanzo cha hiyo definition yako

Screenshot_2023-05-16-03-51-22-550_com.android.chrome.jpg
 
Screenshot_20230516-041602.png


Nataka chanzo cha hiyo maana ya continent
 
Wewe unafikiri Europe ni continent Kwa sababu wazungu wamefundisha watu hivyo? umewahi Google Eurasia ukaona unapata nini??
Kwa hiyo chanzo chako ni Waarabu au?
Hata hicho unacho ggogle ni wazungu wameandika acha hizo
 
Kwa hiyo chanzo chako ni Waarabu au?
Hata hicho unacho ggogle ni wazungu wameandika acha hizo

Wewe jamaa mbona unashambulia mtoa mada badala ya kushambulia mada??

Unafikiri alieanzisha huu uzi hajui alicho fundishwa shuleni ni nini?
Why unafikiri kaanzisha uzi?
Kaona alichofundishwa ambacho na wewe umekariri ni uongo mtupu
Sawa na mlivyo fundishwa Dr Livingston aligundua ziwa Tanganyika na wazungu wengine kuwa binadaamu wa kwanza kugundua Mlima Kilimanjaro na vingine....

Wewe kariri ujinga ulichofundishwa.....bila kutumia akili na kuhoji ukweli wake...
 
Unapinga nini ?
Kimsingi huna hoja.
Ukifuatilia vizuri hiyo hoja yako hata bara la Afrika halipo bali Afro-Eurosia, kwasababu Euro, Asia na Afro huunganishwa na suez.

Hoja hii haina mashiko ni ya kubabatiza tu.
Rejea chanzo chako uchwara hapo chini
Screenshot_20230516-042017_Chrome.jpg
 
Wewe jamaa mbona unashambulia mtoa mada badala ya kushambulia mada??

Unafikiri alieanzisha huu uzi hajui alicho fundishwa shuleni ni nini?
Why unafikiri kaanzisha uzi?
Kaona alichofundishwa ambacho na wewe umekariri ni uongo mtupu
Sawa na mlivyo fundishwa Dr Livingston aligundua ziwa Tanganyika na wazungu wengine kuwa binadaamu wa kwanza kugundua Mlima Kilimanjaro na vingine....

Wewe kariri ujinga ulichofundishwa.....bila kutumia akili na kuhoji ukweli wake...
Uache ushamba hapa hatugombani bali tunakoseana na mwisho wa siku tunajifunza.
Huu sio ugomvi naona unakomaza fuvu
 
Ajabu hiii picha Africa ni kubwa kuliko Russia...lakini wanachora Russia kubwa kuliko Sahara desert..
Ukweli Russia inaingia Sahara desert na eneo linabaki...
Wewe tazama square meters za mraba za Russia na Sahara utapata jibu
Africa ni kubwa sana kuliko Russia. 30mil kmsq Africa kwa 17mil kmsq Russia. Hii Ramani maarufu tunatumia ina kasoro kubwa. Inafanya nchi na maeneo ya karibu ya Equator yawe madogo na yale kwenye poles yawe makubwa. Ina faida moja ya kuweka longitude na latitude kwa usahihi. Ila naamini ingekuwa inadogosha nchi za Ulaya tusingekuwa tunaitumia.
 
Back
Top Bottom