Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,019
- 46,839
Bado sijaona chanzo cha hiyo definition yakoNimekupa vyanzo umeviona?
Au ulifikiri nimetunga kichwani?
Watu washajadili na kujua why wagiriki waliita Europe continent Kwa makosa ya kibaguzi kama walivyoita wazungu binadaamu wa kwanza kugundua Mlima Kilimanjaro na mengineyo

