mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,775
- 131,965
Huyu akili yake haiko stable
Tangia mwanzoni watu tulimshtukia
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangia mwanzoni watu tulimshtukia
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana
Ukiona hivyo anaishi huko, hivyo wewe na yeye ni majirani huko magogoni.


Huyu jamaa maarufu sana alitaka kununua jumba la yule fisadi, mtaalamu wa nuclear kule USSR.Tuanzie hapa
Kwani huyu jamaa ni nani??
Kipi kaifanyia dunia??
What made you think the guy is homeless?!
Nielewavyo the guy had never had a home, he was hosted by a friend of his, ila yeye kuwa hapo pia haimaanishi kawa homeless, anaweza kuwa kapumzika tu.
Nimekueleza ninachokiona kila siku
Kila siku nakutana naye [Code name]Magogoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa TISS 😆Mkuu upo sawa tena huwa analala kwenye gogo fulani pale ocean road anakuwa ameanika nguo zake
+1
Niwahi kupata msukosuko kwenye biashara wakati flan, asee asikwsmbie mtu, marafiki wote walikimbia,
Sometimes ni bora ujijue kabisa una pambana peke yako kuliko marafiki wasio na tija
Sent using Jamii Forums mobile app
😄😄 Sijui. Ni vile nimezoea kuona watu wakisema..mfano kuna chizi flani mjini au omba omba watu wanasema ni usalama wa taifa
Sorry huyu ni msomi Daktari wa Binadamu. Ana miaka 50 tuu. Hivi ilishindikana kumpa Kazi ya Daktari hapa Bongo? Ina maana Elimu yake haitufai? Pole Daktari I don't know where you went Wrong hata Utaalaamu wako usihitajike nchi hii.Huyu akili yake haiko stable
Tangia mwanzoni watu tulimshtukia
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna msanii wake alikuwa anamsimamia...imekuwaje? Yan hata akina roma walimtumia kwenye video yao wanashindwa kumsaidia jamaniiAnha
Kumbe ndio yule jamaa alisema kuna pesa zake sijui Russia|Pakistan zimekwama kidogo kutokana na System ya wenyewe huko sio Muda zifafika.
Mapema mie nilitambua hakuna pesa pale huyu jamaa kiuhalisia hana pesa kabisa ..Sema ana akili ya kujichetua|Kujitoa wazimu ya kufanya vitu ambayo hana hata uwezo navyo.
".....Tutaelewana kidogo kidogo,Ngoja tuoneshane makali.
Lengo lako ni ovu kwani bia ni kutaka watu wamcheke kisha utafarajika na moyo wako utatulia.
wazazi wako pekee ndio wana uwezo kukupa msaada bila kikomo bila kujali ni hali gani unapitia na bila kinyongo chochote+1
Niwahi kupata msukosuko kwenye biashara wakati flan, asee asikwsmbie mtu, marafiki wote walikimbia,
Sometimes ni bora ujijue kabisa una pambana peke yako kuliko marafiki wasio na tija
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wana hisia kali dhidi ya TISS
Watu wanashuku
Sijui. Ni vile nimezoea kuona watu wakisema..mfano kuna chizi flani mjini au omba omba watu wanasema ni usalama wa taifa