- Thread starter
- #181
MM NA DEAL na niliye mkopesha sitaki kudeal na innocent peoples afu hawa mabasha wake sikuhitaji kabisa vita nao ila ilibid tu maana walishaanza kurusha ngumiUgomvi km huo we komaa na shingo tu ya huyo unaemdai yaani ungehakikisha mpaka anakunya hata upigwe vipi we ni mkasi tu kushoto kulia.
We ukapoteza lengo unaanza ugomvi na mabasha wake.
Ushauri mtafute kaka yake aliyekuintroduce kwake alipe hasara zote.