Dunia yalaani kifo cha mwandishi Daud Mwangosi

Mwafrika habadiliki na wala hajifunzi kitu na siku zote tutabaki kuwa watumwa na kutawaliwa hata tufanye nini kwa maana tumeshindwa kutambua mawe yaliyowekwa mbele ya njia tunayopita na hao hao ambao tunawalilia waje watusaidie!

Watu wanalilia wazungu waseme chochote kuhusu mauaji ya Serikali dhidi ya raia, sasa sijui wakishasema ndio iwe nini? tangu lini hii Dunia ikawa fair?
Hivi mnafikiri hao wazungu mnaowaomba waseme kitu hawajui nini kinaendelea Tanzania? Kama wanaweza kujua kifo cha Raisi wa nchi nyingine kabla nchi hiyo haijatangaza watashindwa kujua kupigwa risasi kwa raia wasio na hatia?

Kwa nini siku zote tunategemea mtu mwingine ndio aje atusaidie? Kama kuna binadamu mwenye experience mbaya na wageni ktk histora ya Dunia hii ni sisi Waafrika hakuna watu waliodanganywa na kutumiwa vibaya na wageni kama sisi Waafrika kutoka Utumwa, Ukoloni mpaka Dini lakini bado tu tunafikiri nakuamini kwamba wazungu wanatupenda sana na watakuja kutetea!

Hivi ni nini kifanyike ili tuelewe Dunia hii its all about interest? Unafikiri Wazungu au sijui Wachina au Wajapani wanaweza kuja kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu kama maslahi yao hayaguswi?

Tubadilke tutafute suluhisho ndani ya mipaka yetu, Wazungu HAWAJAHI KUTUPENDA HAWATUPENDI NA HAWATAKUJA KUTUPENDA na mtaandika Barua sijui CNN sijui BBC sijui Radio China lakni kama maslahi yao yako intact hakuna lolote litakalofanyika!
 
Mwangwi wa mauaji ya kinyama na kikatili yaliyofanywa na jeshi la polisi mkoani Iringa sasa umeenea dunia nzima.

Shirika la habari la Marekani CNN limeripoti tukio hilo kwa kina na uhalisia wa pekee.Shirika hilo pia limeelezea matukio yote ya mauji ya kinyama yaliyowahi kufanywa huko nyuma ambayo yote yalikuwa ni kuidhibiti demokrasia na kutaka kukifunga mdomo chama kikuu cha upinzani CDM.

Shirika hilo pia limeeleza kushangazwa na ukimya wa tume ya haki za binadamu nchini Tanzania kufumbia unyama huu.

Habari kamili soma link ifuatayo:

Tanzanian journalist killed; Police under fire! - CNN iReport

nimeisoma mdau
 
Imekaa hivi

Another incident where Tanzanian police are accused for using excessive force against unarmed citizens. This time however - a week after similar incident in another region - a prominent Journalist Mr. David Mwangosi was killed in close range following a confrontation with the police.

In less than a week the Tanzanian Police Force is under immense pressure to reform after another incident where a journalist was killed in what analysts consider to be a blatant use of force against unarmed individuals. Last week during a political rally staged by Tanzania's main opposition party CHADEMA (Democracy and Development Party) a newspapers street vendor was killed by what is suspected to be a tear bomb. The young man was killed instantly as he tried to run away from the police who were trying to disperse a crown of CHADEMA supporter who were matching towards the grounds where they were to hold a political rally. The rally was held in Morogoro about 250 miles from Dar-es-Salaam the commercial capital of the East African nation.

The political rally in Morogoro was held at the end of a weeklong civil and political rights campaign conducted by CHADEMA's top brass including the Chairman Mr. Freeman Mbowe and former Presidential Candidate Dr. Wilbrod Slaa the party's Secretary General. After the incident the police cancelled all political rallies in the country.

After Morogoro the political rallies were moving to the Southern regions including Iringa. Today's gathering at Nyololo was part of the preparation for the coming week rallies in Mufindi district. Members and supporters of CHADEMA were gathered at the local office of their party in Nyololo village, Mufindi in Iringa region. The police citing the ongoing national census exercise directed all political parties not to hold any political rally until the Registrar of political parties in the country direct otherwise. While obeying the directive the local party gathered at their local office which triggered the police to act to disperse the small crowd that was gathered outside.

It is not yet known what let to the killing of David Mwangosi a prominent journalist with Channel 10 TV station and who the Chairman of Iringa Press Club was also. It was reported by a number of sources present at the office that Mr. Mwangosi approached a group of riot police officers who were detaining another journalist Mr. Godfrey Mushi who works for Nipashe an independent newspaper. Instead of reasoning with Mr. Mwangosi the police took it as a challenge of their authority and they tried to put him under arrest leading to a scuffle between the police and Mr. Mwangosi.

One picture taken by another journalist present shows a Mr. Mwangosi in the middle of about five riot police officers, falling behind while one of the officers had his weapon – probably a tear gas gun- trained on Mwangosi stomach. He was killed instantly after the photo was taken. Another police officer was injured too at the scene and was taken to a nearby hospital.

In the past year or so there have been almost seven incidents where the police have used excessive force against unarmed men. All this has happened whenever CHADEMA has tried to conduct a peaceful march or a political rally. No police officer has been held accountable in any way. Tanzania's Attorney General Office has been silent and the national Human Rights Commission has not issued any statement of concern with the growing use of force by the police against unarmed individuals. Efforts to reach Iringa regional Police Commander Mr. Michael Kamuhanda proved to be futile. It was Mr. Kamuhanda who was Ruvuma Regional Police Commander when in February this year four people were killed by police.

CHADEMA's leadership was not available immediately for their reaction of today's incident.
 
huyu RPC ana stahili adhabu ya kifo kwa kutoa amri mwandishi kuuliwa. roho yangu inaniuma sana
nimekudua kumbe ndo maana watu huwa wanajitoa muhanga
 
Kikwete ataongea nini kuhusu ili sasa?polis wake wanaua waandishi hovyo
 
Kuna taasisi hazielewi tena zinawatumikia watanzania. Zinatekeleza mambo yao tena kwa akili finyu kabisa. nani anayeruhusu polisi kuua watu hovyo halafu wanajitetea kirahisi tu wanaachwa?
 
Molemo tanx brother,nimesoma hiyo report ya cnn mara tatu na nimegundua hao waandishi habari ya nje ndio wazalendo kuliko wa kwetu,na nimegundua pia mwanahalisi ilikuwa inatupa ukweli 100 %,habari iko open and clear sasa soma hivi vigazeti uchwara vya bongo...
 
Molemo tanx brother,nimesoma hiyo report ya cnn mara tatu na nimegundua hao waandishi habari ya nje ndio wazalendo kuliko wa kwetu,na nimegundua pia mwanahalisi ilikuwa inatupa ukweli 100 %,habari iko open and clear sasa soma hivi vigazeti uchwara vya bongo...

Nakushukuru mkuu..!
 
The plain Police brutality and heineous systematic killings has no place to hide today!
 
Michael kamuhanda rpc anayeshuhudia mwandishi mwangosi anapigwa bomu la tumbo,naomba mahakama ya uharifu wa kivita ifunguliwe mapema tanzania!!!!!!!!!!!!!! Polisi ccm hawa.
 
Imekaa hivi

In the past year or so there have been almost seven incidents where the police have used excessive force against unarmed men. All this has happened whenever CHADEMA has tried to conduct a peaceful march or a political rally. No police officer has been held accountable in any way. Tanzania's Attorney General Office has been silent and the national Human Rights Commission has not issued any statement of concern with the growing use of force by the police against unarmed individuals. Efforts to reach Iringa regional Police Commander Mr. Michael Kamuhanda proved to be futile. It was Mr. Kamuhanda who was Ruvuma Regional Police Commander when in February this year four people were killed by police.

CHADEMA's leadership was not available immediately for their reaction of today's incident.
hapo kwenye red/underline ni lazima siku ipo na endapo wahusika watakuwa hai basi lolote linawezekana. raisi wa zamani wa Kenya (Moi) ana pesa za kutosha lakini kwa sasa hana raha kutokana na makosa aliyoyafanya akiwa ofisini
 
Mwafrika habadiliki na wala hajifunzi kitu na siku zote tutabaki kuwa watumwa na kutawaliwa hata tufanye nini kwa maana tumeshindwa kutambua mawe yaliyowekwa mbele ya njia tunayopita na hao hao ambao tunawalilia waje watusaidie!

Watu wanalilia wazungu waseme chochote kuhusu mauaji ya Serikali dhidi ya raia, sasa sijui wakishasema ndio iwe nini? tangu lini hii Dunia ikawa fair?
Hivi mnafikiri hao wazungu mnaowaomba waseme kitu hawajui nini kinaendelea Tanzania? Kama wanaweza kujua kifo cha Raisi wa nchi nyingine kabla nchi hiyo haijatangaza watashindwa kujua kupigwa risasi kwa raia wasio na hatia?

Kwa nini siku zote tunategemea mtu mwingine ndio aje atusaidie? Kama kuna binadamu mwenye experience mbaya na wageni ktk histora ya Dunia hii ni sisi Waafrika hakuna watu waliodanganywa na kutumiwa vibaya na wageni kama sisi Waafrika kutoka Utumwa, Ukoloni mpaka Dini lakini bado tu tunafikiri nakuamini kwamba wazungu wanatupenda sana na watakuja kutetea!

Hivi ni nini kifanyike ili tuelewe Dunia hii its all about interest? Unafikiri Wazungu au sijui Wachina au Wajapani wanaweza kuja kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu kama maslahi yao hayaguswi?

Tubadilke tutafute suluhisho ndani ya mipaka yetu, Wazungu HAWAJAHI KUTUPENDA HAWATUPENDI NA HAWATAKUJA KUTUPENDA na mtaandika Barua sijui CNN sijui BBC sijui Radio China lakni kama maslahi yao yako intact hakuna lolote litakalofanyika!
soma heading we kijakazi usiyetumia akili!tangu lini "dunia" ndo wazungu?cnn inatizamwa dunia nzima wakiwemo hao dhaifu anaowapeleka bakuli la kimatonya every now and then.Mbona husemi kitu akiwa anapiga kiguu na njia kwa hao wazungu kuomba pamoja na vitu vingine hizo silaha zinazotumika kuuwa raia wasio na hatia?tumia akili na fikiri kabla ya kubandika ***** humu.
 
Back
Top Bottom