hivi kuna yeyote kati yetu alie wahi kwenda nje ya dunia na kuipiga picha tukaiona ni ya duara, si tunaletewa tu picha kwamba ni duara.., mi nimeamua kugoma mpaka niende nikahahakishe mwenyewe.., dunia sio duara kabisa..!
Kwa nini binadamu anakufa? Ni lazima kufa?Non sequitur.
Wengine wanaweza kusema binadamu kufa kirahisi hivyo kunaonyesha kwamba hakuumbwa na mungu muweza yote.
Kwa sababu angeumbwa na mungu huyo asingeweza kufa kirahisi hivyo.
Kwa nini binadamu anakufa? Ni lazima kufa?
Vipi binadamu amepata uhai? Chanzo cha uhai ni nini?
Hata nikisema sijui majibu ya maswali yote hayo, yanahusikaje na uthibitisho wa kuwapo kwa mungu?
How are those questions different from "kwa nini kuna nguvu za uvutano" au "kwa nini rangi ya blue ni blue" ?
Kama huna majibu ya haya, inakuwaje unaweza sema hakuna Mungu?
Una uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu? Umwage hapa.
Kisichokuwepo hakina uthibitisho kwamba hakipo, kwa sababu hakipo.
Kilichopo ndicho kina uthibitisho kwamba kipo, kwa sababu kipo.
Swali hapa ni kwako.
Una uthibitisho kwamba mungu yupo?
Unajuaje kwamba kisichokuwepo hakipo?
Toa mfano wa kisichokuwepo.
Kisichokuwepo hakijulikani kwa uthibitisho kwamba hakipo, ni jukumu la anayesema kipo kuonyesha uthibitisho kwamba kipo.
Ama sivyo, tutaweza kusema chochote kipo, kilichopo na kisichokuwepo.
Kwa sababu hakuna jinsi ya kuonyesha kwamba kisichokuwepo hakipo, kwa sababu hakipo, na kwa sababu hakipo, hakionyesheki kwamba hakipo.
Kisichokuwepo hakina uthibitisho kwamba hakipo, kwa sababu hakipo.
Kilichopo ndicho kina uthibitisho kwamba kipo, kwa sababu kipo.
Swali hapa ni kwako.
Una uthibitisho kwamba mungu yupo?
sikujua kama hii topiki inahusu watu maalumu na sio kila mtu anaruhusiwa kuchangia au kutoa maoni.I did not ask you. Are you her apprentice? I believe the person can talk for herself without your help.
Do you know the meaning of "kumjua" or YOU ARE JUST A BLIND FOLLOWER of a diabolical cult that BELIEVES IN NO GOD and can not support their fiendish notions with impeccable evidences?
If I will give it a try, I wil die.
That does not prove god exists.
Kisichokuwepo hakijulikani kwa uthibitisho kwamba hakipo, ni jukumu la anayesema kipo kuonyesha uthibitisho kwamba kipo.
Ama sivyo, tutaweza kusema chochote kipo, kilichopo na kisichokuwepo.
Kwa sababu hakuna jinsi ya kuonyesha kwamba kisichokuwepo hakipo, kwa sababu hakipo, na kwa sababu hakipo, hakionyesheki kwamba hakipo.
Kusema kwamba sio vyote visivyoonekana havipo si sawa na kusema kila kisichoonekana kipo. Na wala si kusema kwamba kila kionekanacho kipo.
The devil is in the details.
Ndiyo maana nikakuuliza mungu gani?
Kuna watu wanaabudu jua kama mungu wao.
Hawa wakiniambia.mungu wao yupo siwezi kuwabishia.
Mkuu kiranga una elimu gani ata kwa ukiniPM sio mbaya.. kwasababu watu wenye phd hawawezi debate na wewe.. mfano nina uhakika Dr kitika mkumbo yupo hapa janvini hawezi kudebate na wewe hata kidogo..
ulisomea nini philosophy,linguistics,geo-phisics,geography au nini hasa?
kama ni kuishi ulaya mbona william machela na chris wa jf hawana uwezo wa kureason kama wako
sisi wa kizazi hiki na ma mitandao na google tumeshindwa kuwa kama wewe.. je ni IQ kubwa kama ya wayaudi/jews.. yaani hatuwezi ata tukijosea sana..?
naomba majibu mkuu kiranga.. pia jf standard sio ndogo.. mbona kuna maprofessor wengi hapa jf nawajua.. ukiwataka nitawataja.. lakini wameshindwa kudhibitisha uwezo wao..
Kama ni hivyo. je unaposema huwezi kuthibitisha ni kuwa unatumia imani(dhana) tu. au ni bahati nasibu?
Je ni Mungu yupi ambaye unasema hayupo?
Je una vigezo vyako vya ili awe Mungu, ni lazima akidhi vigezo hivyo? Vitaje.
I have debunked point number one umpteenth times before here.
If everything complex will need a creator, then that creator will necessarily need to be more complex than the created.
Following that line of logic, if god created all these complex things, god himself will be complex and will need a creator, a more complex creator, and his creator will need an even more complex creator, ad infinitum, ad absurdum.
Biblia haiwezi kuwa ni kitabu cha mungu kwa sababu ina makosa mengi sana ya kibinadamu. Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote anatakiwa awe efficient zaidi katika ku communicate ujumbe wake kukiko hii series ya contradictions unayoita biblia. And why the bible, not the Quran, Bhagavad Gita, books from Dhammapada, Confucianism, Taoism etc?
Kama unaona binadamu anaweza kuzidiwa na mungu, mungu anaweza kuzidiwa na mungu wake, kitu kitakachomfanya mungu asiwe mungu kwa maana ya muumba wa vyote. Hapa tunarudi kwenye aspects za point 1 above. Kwa nini mungu ndiye awe gold standard na asiwe na muumba wake?
Hilindo tatzo la kusoma sana, kunasiku utaulizwa 1-1 utashindwa kujib, heb jitazame tu ww unakubar kuwa umetokana na sokwe? Kama utakataa basi kubari kuwa dunia ni duara, na kama ukikubari, utakuwa na matatzo ya akili na huenda mvua zimekuvuruga...