Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,614
Kwakuwa imethibitika kwamba rushwa haiwezikwisha asilani duniani, nadhani tuanze kutoza kodi rushwa kubwa kubwa ambazo zihalalishwe na kupangiwa utaratibu wa kupokelewa/kutolewa kupitia akaunti za benki ili serikali zichukuwe kodi zao huko huko.
Huenda serikali zikajikuta zinaingiza mapato makubwa kuliko inavyodhani. Kama hili haliwezekani basi ni bora tukaondoa Itifaki ya Haki za Binadamu wakati wa kushughulikia makosa ya rushwa ili watoaji na wapokeaji wastahili death penalty baada ya kuthibitika kisheria kufanya kosa hilo na utekelezaji wa death penalty ufanyike hima.
Hivi sasa mla rushwa anakamatika na kushitakiwa lakini huko huko kwa Pilato nako anaenda kuhonga na kuachiwa huru kwamba hana hatia na anarudi kuwashughulikia washitaki wake, ZITAISHAJE RUSHWA KUBWA KUBWA AMBAZO NDIZO ZIMEELEMEA DUNIA?
Taswira zote kwa hisani ya google.
Huenda serikali zikajikuta zinaingiza mapato makubwa kuliko inavyodhani. Kama hili haliwezekani basi ni bora tukaondoa Itifaki ya Haki za Binadamu wakati wa kushughulikia makosa ya rushwa ili watoaji na wapokeaji wastahili death penalty baada ya kuthibitika kisheria kufanya kosa hilo na utekelezaji wa death penalty ufanyike hima.
Hivi sasa mla rushwa anakamatika na kushitakiwa lakini huko huko kwa Pilato nako anaenda kuhonga na kuachiwa huru kwamba hana hatia na anarudi kuwashughulikia washitaki wake, ZITAISHAJE RUSHWA KUBWA KUBWA AMBAZO NDIZO ZIMEELEMEA DUNIA?
Taswira zote kwa hisani ya google.