Huu sio msingi katika kufasiri Qur'aan na ndio maana nilikwambia huko nyuma aya hufasiriwa kulingana na muktadha na mtiririko ulivyo na kutokana na athari,ndio maana nimekuwekea hiyo aya ili ujue na uone kwamba hicho unachokiulizia sio msingi na hakipo.nimetaka aya ambayo Allah anajisifia ufundi wa kuumba alafu hilo liwe linamaanisha
Kunataka maarifa mapana hasa,na usomeshwe,huoni kwamba watu huwa wanafundishwa misingi ya kutafsiri Qur'aan na kusomeshwa Tafsiri ya Qur'aan.kwani hayo maarifa mapana wewe unayapimaje ?
kwani kufasiri Qurani kunataka uwe na maarifa mapana kumbeeee...?
Asili ya hili ni kutoka kwa mtume,ukisoma fani ya Tajweed utakutana na jadithi ya mtume inayosema ukitaka kuisoma Qur'aan basi soma kama anavyoisoma "Ibn Amiiy" akimkusudia swahaba Abdullah Ibn Mas'oud hii ndio inaitwa ijaza.kabla ya yote naomba uniambie hasa hyo namba 3 kwa ushahidi upi au kwa mujibu wa nani..?
Hii ni sifa anuai,kwani imeanzia huko kwa mtume mpaka imetufikia sisi. Hao wanachuoni wakubwa kabla ya kuwa hovyo na wao walikuwa na wakubwa zao. Kwahiyo ni juu yako kulifikiria hilo kiutu uzima,kwani na wao hao kabla walipota katika mchujo huo huo.alafu unaporuia kusema eti awe amekubaliwa na wanachuoni wakubwa hapa ndo sifa hii ?
hao wanachuoni wakubwa wanasifa gani ?
Huwezi kupata majibu ya swali lako hapa! Jitahidi kusoma Physics utajua!
Hapana mkuu shida ushaweka kichwani dunia haizungukihaah
mkuu unaamua kunisusa mazima mkuu..
Huu mfano wako bado haujakidhi tafari zetu.Kuna force mbalimbali zipo,kwa akili yako ya form 4 iishia hapo hapo kwamba dunia inajizungusha kwenye mhimili wake huku inalizunguka jua,
Afu imagine upo kwenye pickup inatembea then umeshika kitu mkonononi say jiwe,unafikiri ukilirusha juu litaanguka au litaangukia mikononi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akishajibu hili swali twaweza endelea na mada, dunia kweli izunguke 10,000km kwa Lisaa limoja na sisi tusihisi chochote?Usiniulize maswali kabla hujajibu maswali yangu.
Hilo jiwe unalolirusha kwenye pickup bado hilo jiwe linakuwa katika anga ya hilo pickup.
Kwea gari ambayo iko wazi alafu rusha jiwe juu sana tuone kama litakurudia wewe au utaliacha nyuma?
Mbona unataka kugeuza mambo mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya leo kali, jua halizunguki mkuu?Kijana Jua halizunguki hili weka akilini....jua ndilo linalozungukwa na vilivyomo kwenye mfumo wake....mfumo wa jua una sayari kadhaa ikiwemo dunia miezi kadhaa ukiwemo huu wa kwetu vimondo na takataka zingine zote zinalizunguka jua ambalo lina nguvu kubwa ya uvutano hivyo hakuna kinachotoka nje ya msari wake
Dunia hujizungusha yenyewe wakati huo huo ikilizunguka jua....mwezi nao unajizungusha wenyewe huku unaizunguka dunia hapo hapo inalizunguka jua pamoja na dunia
Ndio maana wakati fulani kunakuwa na kupatwa kwa jua ama mwezi kutokana na mizunguko yao
Jua ni nyota iliyo karibu na sisi nyota zingine zipo mbali sana nazo zina mifumo yao nayo huzungukwa vilevile ila siku zote nyota hazizunguki bali sayari na maumbo mengine
Uwe unanukuu matini ya kiarabu au kuweka tarjama hivi unakuwa unapoteza maana ya aya,kwani unaandika kinyume na ilivyo matini.
Nani alikwambia jua lina kiini na joto ridi lake ni 1,000,000 deg C ? Walipima joto hilo kwa kutumia kifaa gani na nani alikuwa wa kwanza katika hilo ?
Unajua nimehuzunika sana,mpaka nikawa nawaza huyu mtu nimjibu au nisimjibu ?
Naomba unijibu maswali yafuatayo.
1. Hivi unaweza kunithibitishia kuhusu uhalisia wa hii nadharia ?
2. Tungamo ya Dunia na Jua unaipimaje ? Yaani ili kujua uzito wa kitu unatakiwa uwe na nini ?
3. Umbali wa jua na dunia unaupataje ? Yaani ili uujue wewe umbali kutoka Ubungo mpaka Kariakoo huwa unazingatia votu gani ? Hapa nimekufafanulia tu ili ujibu swali vizuri.
4. Huyo Mwanasayansi alijuaje kama kuna nguvu ya mvutano kati ya vitu viwili hivyo na alitumia kifaa gani kujua hilo ?
5. Katikati ya jua alifikaje na kujua kwamba hapo ndipo katikati ya Jua ?
6. Katikati ya jua ni wapi na katikati ya dunia ni wapi ? Je ili kujua katikati ya viwili ni sharti uwe katika viwili hivyo au unakadiria ? Kama unakadiria ni Ukweli wa nadharia hiyo ?
Ukijibu maswali hayo,nitakuuliza mengine.
Naendelea .....
Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimojapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe! ( Azumar : 5 )
Hivi ndivyo usiku na mchana unavyopatikana.
Ameumba mbingu na ardhi kwa Haki. Hufunika usiku juu ya mchana, na hufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kila kimojapo kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe! ( Azumar : 5 )
Hivi ndivyo usiku na mchana unavyopatikana.
Kazi kweli kweli,nimekuuliza maswali badala ya kujibu unaleta porojo.Kama wewe kaka umehuzunika, basi mimi ndio zaidi, mambo hayo unayoyauliza walianza kuyafanyia kazi Mababu zako wa Kiislamu (wanasayansi) kabla ya hawa wazungu wa karne ya 19 hawajashika Kasi.
Kauli yangu ya mwanzo kutaka kujua kiwango cha Elimu yako ya Secular hapa ndiyo kime- materialise.
Maswali hayo ni mepesi kama unajua kiwango "Mathematics+Phydics"--- hizo ni nyenzo zinazomfanya Mzungu leo aitawale dunia, hadi leo Zurri unapanda ndege na Magari na upo na Laptop au Smartphone tuna chart hapa,---- hiyo yote ni Maths na Physics.
Leo unauliza eti uzito wa dunia unapimwaje??, karne ya 21.🤣, halafu hujui unaamua kusema, eti, huo ni UONGOOOO !!!
M=gr²/G , where M, mass of the earth, g ni acceleration of gravity, r ni radius of the Earth, utauliza r inapatikana vipi???🤣🤣
Umeweka tu hapo tarjama bila kuweka tafsiri ili tukuelewe, kama umeshindwa kuweka tafsiri tuwekee tafsir ya ibn kathir tuone naye anasemaje!!,--- au naye kashindwa kama alivyoshindwa kwenye (21:33), 🤣🤣🤣
Hii Hadithi dhaifu,mtume hajasema maneno haya. Huku ndio usiingie kabisa.Alrasulullah (saw) alisema; tafuteni elimu hadi China. China hakuna elimu ya dini.
Unajua nimehuzunika sana,mpaka nikawa nawaza huyu mtu nimjibu au nisimjibu ?
Naomba unijibu maswali yafuatayo.
1. Hivi unaweza kunithibitishia kuhusu uhalisia wa hii nadharia ?
2. Tungamo ya Dunia na Jua unaipimaje ? Yaani ili kujua uzito wa kitu unatakiwa uwe na nini ?
3. Umbali wa jua na dunia unaupataje ? Yaani ili uujue wewe umbali kutoka Ubungo mpaka Kariakoo huwa unazingatia votu gani ? Hapa nimekufafanulia tu ili ujibu swali vizuri.
4. Huyo Mwanasayansi alijuaje kama kuna nguvu ya mvutano kati ya vitu viwili hivyo na alitumia kifaa gani kujua hilo ?
5. Katikati ya jua alifikaje na kujua kwamba hapo ndipo katikati ya Jua ?
6. Katikati ya jua ni wapi na katikati ya dunia ni wapi ? Je ili kujua katikati ya viwili ni sharti uwe katika viwili hivyo au unakadiria ? Kama unakadiria ni Ukweli wa nadharia hiyo ?
Ukijibu maswali hayo,nitakuuliza mengine.
Naendelea .....