Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 12,212
- 17,005
Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na Hekima,na aombe Dua kwa Mungu,awapaye wote kwa ukarimu,Wala hakemei;naye atapewa.
(Yakobo 1:5).
Zingatia jinsi utamaduni unavyobadilika kadiri muda unavyopita.Kanuni za kijanii zinabadilika: Mambo yaliyokuwa yanakubalika hapo Swali hayakubaliki Tena,na kinyume chaka:
Haya mambo ya Uchawa na kushangilia vitu vsivyo na maana,vitakuja kutuhuzunisha baadae mambo yakiwa ndivyo sivyo.
Yangu ni hayo kwa Leo, Ahsanteni.
(Yakobo 1:5).
Zingatia jinsi utamaduni unavyobadilika kadiri muda unavyopita.Kanuni za kijanii zinabadilika: Mambo yaliyokuwa yanakubalika hapo Swali hayakubaliki Tena,na kinyume chaka:
Haya mambo ya Uchawa na kushangilia vitu vsivyo na maana,vitakuja kutuhuzunisha baadae mambo yakiwa ndivyo sivyo.
Yangu ni hayo kwa Leo, Ahsanteni.