Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Dharula IPI ... Katekwa auTuwe na subira kidogo jamani shigongo amepata dharula
Dharula IPI ... Katekwa auTuwe na subira kidogo jamani shigongo amepata dharula

Toka mwanzo nilisema kuhusu hii story kunaweza kuwa na arosto mbele halaf hii nahisi ni story ya kwanza toka nilete ina arostoBado kuna arosto huku?Mkuu Shunie next time jitahidi kuleta mzigo uliokamilika tayari kama ilivyokuwa kwa Malkia wa Goshen ili uweze kujimwayamwaya mwenyewe.Hata hivyo nakupa pongezi nyingi tu kwa jinsi unavyojitolea kutuma mizigo humu.Kosa moja haliwezi acha mke.Nakutakia pasaka njema!
Asante mkuu ShunieToka mwanzo nilisema kuhusu hii story kunaweza kuwa na arosto mbele halaf hii nahisi ni story ya kwanza toka nilete ina arosto
Asante sana jackal nakutakia pasaka njema na kwako pia nimependa hapo kosa moja haliwezi acha mke
Inategemea na ukubwa wa kosa lenyeweToka mwanzo nilisema kuhusu hii story kunaweza kuwa na arosto mbele halaf hii nahisi ni story ya kwanza toka nilete ina arosto
Asante sana jackal nakutakia pasaka njema na kwako pia nimependa hapo kosa moja haliwezi acha mke
Khaaa! Yaan ameniuma kishenzi sina hamuuu!Walikuwa wanapiga story huko kwenye thread moja mmu
Mwambie nammis, nampenda na namsubiriKaniambia nikupe salaam zako anakusalimia mnooo
Mwambie asikilize wimbo wa Alicia Keys-If i ain't got you.Amesema anakumiss pia na kukupenda sana
Gud nyt ntakujaWimbo umeniumiza sana, mwambie I will be back!!
Kule inaendelea uwe na usiku mwema jamani
MmhMwambie nammis, nampenda na namsubiri