Samahin sanayaan wewe nivutie wateja wapi sasa kwani nauza mm
Iceman sitakiiii unavyoomba samahani zako mbavu sina

Ulituma msg kama umepaniksasa umenikosea nini lakini mpaka nikusamehe
Sawa ukiwa na story una nitag basiSijapaniki bwana nilikuuliza umeanza kweli toka mwanzo sababu kama story sio yangu lazima niandike jina la mtunzi
Niwe mkweliHuwa unapenda eenh mbona naletaga story nyingi view kwenye post zangu nenda kwenye thread nilizopost utaona story nyingi
Endelea basi maaIceman unanifurahisha sana na ukizipenda utakuwa teja la story kama wakina sie
Nimesoma zote,asanteKesho tutaendelea mama nimeshusha mbili za mwisho mda si mrefu
Soma kidogo kdogo basiNimesoma zote,asante
HahahahIceman unanifurahisha sana na ukizipenda utakuwa teja la story kama wakina sie
Usiombe uwe addict na hizi story aiseh!Hahahah
Ngoja nione kama ntakuwa addict, uzuro tutakuwa wengi. Si mbaya