theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,715
Pole na BAN white....Asanteeee
Tulimiss michango yako humu ndani...
Pole na BAN white....Asanteeee
Mkwe huna sababu ya kuogopa kama hakuna uhuru wa kuongea na kuchangia hoja Mtu anavyoona wafute mtandao wao bwana tutaogopana mpaka lini kama maandamano yapo yapo tuu tuongee tusiongee yatakuepo kama hayapo hayapo tuu hata tukakesha tukiongea hayapo sasa kama wao wanaamini wapo sahihi wanaogopa nini hawa mods nao washatishiwa wanakuja kuwapa Watu bani zisizo na maana nchi gani huru isiyo na uhuru?Mkwe unapoelekea utanipa ban shunie mm nikishusha mgazeti wangu yaani ni kweli hawana tofauti kabisa mwanzo walinipa ban et nachochea maandamo mods hawapendi sikia habari za maandamnao na sio kwamba napost thread za maandamano hapana nacomment tu habari za maandamano
Mara ya pili ban imeniuma mpaka nikawaandikia thread kama hawataki niende jukwaa la siasa waniambie ban waliyonipa wamenionea kuna thread ilipostiwa jukwaa la siasa jf ya sasa sio kama ya zamani nikacomment jf ya sasa inabidi tukae kimya tu nikala ban sababu waliyonipa eti comment yangu nazuia wengine kuchangia hoja nazuiaje sasa
Mkwe acha nibaki hiviMkwe huna sababu ya kuogopa kama hakuna uhuru wa kuongea na kuchangia hoja Mtu anavyoona wafute mtandao wao bwana tutaogopana mpaka lini kama maandamano yapo yapo tuu tuongee tusiongee yatakuepo kama hayapo hayapo tuu hata tukakesha tukiongea hayapo sasa kama wao wanaamini wapo sahihi wanaogopa nini hawa mods nao washatishiwa wanakuja kuwapa Watu bani zisizo na maana nchi gani huru isiyo na uhuru?




Mkwe usimpe adui ushindi kwa kuziba mdomo wakati lakuongea unalo!!! 😳 😳 😳Mkwe acha nibaki hivi![]()