Katika mahojiano yake na Azam TV Babu Duni ambaye juzi amerudi CUF amesema kuwa ndani ya CHADEMA kila mtu ni kambale.
Babu Duni amesema kwamba kuna bureaucracy kubwa sana ndani ya CHADEMA kiasi kwamba agizo linalotoka juu ngazi ya Taifa linaweza kukataliwa na ngazi ya jimbo kwakuwa kila mtu ana sharubu.
My Take: Babu Duni alikuwa akiwachora CHADEMA na ameona ni chama ambacho hakijawa tayari kuongoza nchi kwakuwa mfumo wake wa kiutendaji ndani ya chama ni 'chaos', je hawa watu tukiwapa nchi si haitatawalika kwakuwa kila mtu/kiongozi atakuwa ni kambale?. CHADEMA mrudisheni Dr Slaa aimarishe chama...
Source: Azam news ya saa 2 usiku.