Dully Sykes-DHAHABU /Joselini v/s mr blue

Kweli Ila sio kwa hii mkuu, mana ilikuwa kama nyimbo ya taifa vile yani.
Hapa nikikutajia nyimbo kama.
Wajua Kiba na Queen darlin
Distance ya Jadee
Latifa, Inamaana, waja za Mb doggy
Una Prof Jay
Ndugu zangu Afande sele
Zawadi Keisha
Agoust 13, mwanza mwanza za Fid
Zali la mental
N.k
Ukisema huzijui hizi nitakushangaa kidogo mkuu hapo itabidi tu nikuulize umri wako mkuu.
Hebu muelewe Mkuu mwaka huo anasema alikuwa chekechea makorora Tanga huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote walikaza sana, ila dully kiboko japo alipambana na vijana wenye mitindo mipya ya kurap ila aliwakilisha vema. Hii collaboration inanikumbusha wimbo unaitwa NILIKATAA kutoka top band, TID, QChief ft Byser
Aliogopa kumezwa akapiga verse mbili +chorus ndio akaenda nao sawa. Kimahesabu alimezwa ila ni nani alimeza wengine mi sijui!
 
Mara ya kwanza nilikutana naye kitaani
Nikampa hi huku akinishika shavuni
I'm a Josline a.k.a mpendwa na watu
Kwasababu mi na-flow style zaidi ya tatu
Yeah kashtuka kanifagilia
Hakuamini kama "Perfume" niliwaimbia
Mshkaji mmoja hivi ndo uliofuatia
Mara akatikisa kichwa kifuani akaegemia
Ghafla akaanza kulia
Huku akinishika kwa hisia
Wasiwasi ukanijia, kumuona demu anan'lilia
Anadai anazimika navyo-flow
Namgusa mpaka mwisho, yaani namweka full, yeah
Hisia zangu kwenye muziki zinachoma
Ndo sababu kubwa iliyomfanya anipende sana
Mtoto mzuri ukimwona utampa heshima
Mi namuita dhahabu ndani ya kariakoo nzima
Hiyo Kariakoo alivyotamkwa kweli vijamaa vilikuwa visharobaro
 
Kwani kwenye ngoma ya NIPE TANO ya Daz Baba nani alifunika!? Sorry japo nipo nje ya mada. Ila kwenye mada hii nimeshachangia
 
U-lonely tena bye, mi nafurahi
Niko stimu za mjani, kichwani niko high
Namuona manzi maskani, yuko so fly
Mi nawahi, najigeuza Dully namfuata nampa hi
Nimeshaini kama Mully, kadata mtoto hakatai
(Heheh heheh)
Anang'aa kama gold (yeah, yeah)
Yeah, yeah, yeo-yeoh yeoh, yeo-yeoh
Anaita kama bling thing
Kama dhahabu, amefika kwa king
Queen wa Kheri Rajabu
Anakila sababu, asipate tabu
Nimezimika ajabu (sana tu)
Heheh
Yeoh, hapendi pesa, hapendi show
Ye anampenda Blue
Washamteta hasemi no
Ye anaona fool
Ndo mama Kabyser ajulikana mpaka kwetu
Steve unataka kumjua?
Master J twenzetu
Umetisha sana......

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom