mr blue

  1. M

    Collabo ya Nandy na Kiba ni nzuri sana kuliko ya Mondi na mr blue

    Nimezisikiliza zote na kuangalia video zao hakika Nandy na Ali Kiba mmetoa nyimbo nzuri sana. Pamoja na Diamond kui promote sana Mapozi kwa kutumia media zake ili kuifunika Dah! Lakini wapi. Pia chemistry ya Kiba na Nandy ipo vema sana kwasababu wote ni wanamuziki wenye personality yenye...
  2. M

    Diamond arudisha shukurani kwa Mr Blue

    Baada ya kuachia wimbo wa "Mapozi" akishirikiana na Byser pamoja Jay Melody, staa wa muziki wa Bongo Fleva Naseeb Abdul amerudisha maneno ya shukurani kwa Msanii Mr Blue "Byser". Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond Platnumz ameandika, "BIZZY BABYLON!!! ICON !👑 Rolemode wa Vijana wengi...
  3. sinza pazuri

    Unatamani kuiona collabo ya Diamond Platinumz na Mr Blue?

    Baada ya kufanya kolabo yao ya kwanza miaka zaidi ya 10 iliyopita. Je unatamani kuwaona tena kwenye wimbo mmoja?? Ogopaaa!!! 😂😂🔥
  4. Dcxkobe

    Nyimbo ya Abby skills ft Mr blue

    Wakuu Leo nilikua najikumbusha kuangalia nyimbo za bongo fleva za zamani, hivi Ile nyimbo ya Abby skills ft Mr blue. Mimi wewe, yule demu alietumika mule kwenye video sio qeeen daaring kweli au nimefananisha?
  5. BARD AI

    Miaka 20 ya Mr Blue kwenye Rap

    Karibu kwenye mfululizo mwingine wa maandishi juu ya Hip Hop Kulture, This time tunafanya reflection ya miaka 20 ya Mr Blue ndani ya Rap Game. For the past Two weeks, Mr Blue katokea sana kwenye Timeline yangu pale Youtube na pia Instagram. Being a Philosopher I always know when am asked by the...
  6. Raymanu KE

    Prince Dully Sykes na Mr. Blue wajengewe masanamu

    Mimi Ni mfuatiliaji mzuri sana wa muziki hasa hasa muziki wa Bongo Fleva na hip hop. Kwa hapa Tanzania wapo wasanii wawili ambao wametamba Sana kwenye muziki toka enzi hizo mpaka leo hii bado wanakaza buti. Prince Dully Sykes na Mr Blue ndio miamba wenyewe. Yaani Hawa miamba wameimba nyimbo...
  7. MNYWABUJU

    Dully Sykes-DHAHABU /Joselini v/s mr blue

    habali wanajukwaa, twende katika mada, Katika nyimbo ya Dhahabu ya dully Sykes ambayo aliwashilikisha wakali wawili @joselini na @mrblue ,ambao kipindi iko kulikuwa na tarifa walikuwa awahivi chungu kimoja ,je ni nani ALIMFUNIKA mwenzake? asanten
  8. bahati93

    Nakemea mavazi ya kinazi aliyovaa Mr Blue kwenye video ya Mawe

    Habari ya asubuhi wanajamii. Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music inayokwenda kwa jina MAWE akiwa kashirikishwa yeye pamoja na RayVanny na msanii wa kitaa ambaye...
  9. H

    Mawe, ngoma ya Nyandu Tozzy ft Rayvanny & Mr Blue

    Hi ngoma nimeikubali ile mbaya imewakutanisha wasanii wakali na kimetoka kitu kikali. Rayvanny kapiga corus nzuri as usual, Nyandu Tozzy katupia mistari kutu alafu akamaliza mtu mbaya Mr Blue. Ngoma Kali kuanzia audio mpaka video. Big up to them!
Back
Top Bottom