Hii nyimbo nakumbuka ilitoka 2006 ilibamba sana kipindi hicho..Mbona siifahamu Hii nyimbo? Imetoka Lini mkuu?
Halafu kuna ile ngoma ya Diamond Ommy Dimpoz na Dully Sykeshabali wanajukwaa, twende katika mada,
Katika nyimbo ya Dhahabu ya dully Sykes ambayo aliwashilikisha wakali wawili @joselini na @mrblue ,ambao kipindi iko kulikuwa na tarifa walikuwa awahivi chungu kimoja ,je ni nani ALIMFUNIKA mwenzake?
asanten
Kipindi hicho blue alikuwa na sauti nyororoMistari ya Joseline ilikua konki, Flow ya Blue ilikua Kali, ile ile chorus Misifa aliitendea haki,
Hii nyimbo nakumbuka ilitoka 2006 ilibamba sana kipindi hicho..
Ilikuwa bonge la kolabo
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kuna ile ngoma ya Diamond Ommy Dimpoz na Dully Sykes
Hii ngoma Kali kinoma kama dhahabu tu. Inaitwa utamu, aka utamu wa mashineHalafu kuna ile ngoma ya Diamond Ommy Dimpoz na Dully Sykes
Daah Joslin huyu jamaa ana mtindo fulan hivi matata sana anapo flow.Mara ya kwanza nilikutana naye kitaani
Nikampa hi huku akinishika shavuni
I'm a Josline a.k.a mpendwa na watu
Kwasababu mi na-flow style zaidi ya tatu
Yeah kashtuka kanifagilia
Hakuamini kama "Perfume" niliwaimbia
Mshkaji mmoja hivi ndo uliofuatia
Mara akatikisa kichwa kifuani akaegemia
Ghafla akaanza kulia
Huku akinishika kwa hisia
Wasiwasi ukanijia, kumuona demu anan'lilia
Anadai anazimika navyo-flow
Namgusa mpaka mwisho, yaani namweka full, yeah
Hisia zangu kwenye muziki zinachoma
Ndo sababu kubwa iliyomfanya anipende sana
Mtoto mzuri ukimwona utampa heshima
Mi namuita dhahabu ndani ya kariakoo nzima