Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,980
- 13,633
Napendaga kuangalia friday night live show inayorushwa na East Africa TV na East Africa Radio na host wa show ni Dullah Planet. Sasa kuna jamaa yake wanakuwaga wote kwenye show. Huyu jamaa nadhani anaitwa Sepenga. Jamaa ni mshamba sana.
Kwanza sijui kama ni maarufu. Na kama ni maarufu sijui kaupata wapi. Pamoja na kuwa kwenye show na dullah kwa muda sasa jamaa bado tu hajaizoea camera. Anapenda kuonekana yeye kuliko hata wageni wanaokuja pale kwa ajili kuleta video zao mpya. Anaingilia sana maelezo ambayo mgeni anakuwa anayatoa. Kwa kifupi anamkatishakatisha wakati akiongea kwa maswali ya kibwege kabisa.
Kwa kifupi mle ndani jamaa anavyofanyafanya ni mambo ya kiduanzi. Dulla huyo mduanzi Sepenga usipokuwa makini atakuharibia kipindi. Kama vp mpige chini. Maana hana anachoongeza kwako. Zaidi sana anakuharibia.
Mpige chini.
Kwanza sijui kama ni maarufu. Na kama ni maarufu sijui kaupata wapi. Pamoja na kuwa kwenye show na dullah kwa muda sasa jamaa bado tu hajaizoea camera. Anapenda kuonekana yeye kuliko hata wageni wanaokuja pale kwa ajili kuleta video zao mpya. Anaingilia sana maelezo ambayo mgeni anakuwa anayatoa. Kwa kifupi anamkatishakatisha wakati akiongea kwa maswali ya kibwege kabisa.
Kwa kifupi mle ndani jamaa anavyofanyafanya ni mambo ya kiduanzi. Dulla huyo mduanzi Sepenga usipokuwa makini atakuharibia kipindi. Kama vp mpige chini. Maana hana anachoongeza kwako. Zaidi sana anakuharibia.
Mpige chini.