FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,211
Nadhani ni duka ambalo unaongelea liko lipo kama halipo, ila wateja wengi ni wanawake hasa nyakati za jioni, na muuzaji mara nyingi ni mwanaume kama wa kipemba, mara chache mwanamke, ni duka ambalo linauza vipodozi vilivyopigwa marufuku na mamlaka ya chakula na dawa (TFDA), ila vipodozi hivyo bado vinapendwa sana na wanawake wengi, vipodozi kama caro light, na vinginevyo vyenye hydroquinone na chemicals zingine zilizopigwa marufuku, zipo pale
Kama ni hilo basi lipo Livingston na Kariakoo na si Mpemba, yule ni Mchagga.