SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Kilichotokea ni hivi, yule mwongozaji wa jopo la majini yanayotoan ulinzi kwa JK yaani Sheikh Yahya alisinzia kidogo akadondosha ile tunguli anayotumia kama remote control kuyapanga majini yake ikadondoka hivyo JK akakosa nguvu ndiyo walinzi wa psu wakachukuwa nafasi.Habari ndiyo hiyo, ngoma ilibuma tena huko mitaa ya huko Lindi.