Hahah, watanzania lazima tuambiane ukweliBila picha huu ni umbea.
Nasema uongo ndugu zangu?
Ni moja ya makabila ya tanzania ambayo hayapo kwa wingi kwenye fani ya umalaya wa bure na wa kujikodishaSi wachoyo
Jiandae kuuawa , nawajua Sana wameru acha kuoa utazikwa.Ngoma kwa Wameru huku,, ni baraaa
Weka picha1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!
NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA !!
Noma sana mzee, wanavutia lakini ndiyo hivyo sasa!Ukiskia nkabe shembe, kimbia sana ili akamalizie hasira kwa kukata migomba
😋😋😋Kwa hisani ya mtandaoView attachment 1654245View attachment 1654246
Sawa,,,picha kwenye upande wa sura ni kweli ni wazuri.Kwa hisani ya mtandaoView attachment 1654245View attachment 1654246
Ukipata likizo nijulishe namimi twende Wote, nami nataka kutoa tongotongoMim nataka niombe likizo nikapite pite huko mwez mzima..singida..arusha.manyara..babat kule ..kwa wairaq..kondoa..nitafte mtoto m1 wa ajabu