Duh hii imekaaje

Ndio shida ya kunywa matap tap
 

Huyo labda mtego akumalize aliyemtuma achukue kazi yako. 😁
 
Kumbe huko serikalini sikuhizi mna hadi bizinesi kadi au zilikuwepo mi sijui?
 
Ndo roho ngumu zenyewe hizo!!
Hata hivyo ni mambo ya aibu!
Unapeleka kazee kakajitambulishe mama yako mwenyewe anakaamkia shikamooπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Bora mdada kuolewa na mzee jamii itakuelewa kwa kiasi flan, kijana wa miaka 29 muoe mmama mwenye 50++ utajua hujui
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…