Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Ni maneno ya waziri wa elimu Mutula Kilonzo! eti kadai wale mabinti hawajaenda shuleni kusomea u sister,hivyo waachwe kuvaa vimini vyao kwa kuwa waligomea masomo kwa kukatazwa kuvaa vimini vyao! mwee!