AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
@AshaDii
this is more serious than i thought, hizo terms and condition hata mnyama hazikubali lol.
Old version hapa sipawezi lol
Wapo watu wanaojiita wapo kisasa zaidi and they pretend it works out. For the record siwezi hata thubutu....lol