Mungu wangu hebu jaribuni kuwa na tafakuri pana... Mmeacha yote kwenye mada mmegeukia kwingine duuKinachofurahisha hii thread, dudubaya kaitwa nae gasho kwa sabbu ya kusema wenzake,okay
Sasa muanzisha thread nawe umemtaja dudu a.k.a umefanya alichokifanya yeye,tukueleweje?
By the way me naona waliotajwa wajitetee wenywe tu
Ushoga ni kitu kibaya na ni tatizo kubwa kuliko tunavyodhani... Lakini akili za wengi wanadhani kwa kutaja fulani ni shoga basi dawa imepatikana na tatizo limetatuka... We are totally wrong....Aisee mkuu leo umehudumia mteja punga?? Huenda kweli ni mission ya bashite kuvuruga media fulani lakini anachokisema jamaa kinaonekana ni kweli, mwanaume hupaswi kuinyamazia dhambi huo ni ukike.
Durtete yeye alikua ananyonga hawa watu miksa kuwachapa risasi hadharani.
Mungu alichoma sodoma na gomora kwa ajili ya hii dhambi.
Hujiulizi kwanini hata katika amri haipo hii ya ufiraji/ufirwaji? hii dhambi ilikua out of syllabus kabisa ni machukizo makubwa.
Napendekeza aje na listi ya tatu huenda guilty feelings zitawafanya waache huu ushetani.
Hapa ndio uwezo wetu wa kufikiri ulipofikia. Anakurupuka mtu from nowhere na kwa malengo anayojua mwenyewe anaropoka
. Fulani ni mwizi akamatwe
. Fulani ni Malaya akamatwe
. Fulani ni shoga akamatwe
Je ndio namna ya kuendesha nchi? Unafikiri fulani akishakamatwa na kupelekwa mahabusu ndio mwisho? Au ndio utakuwa umesolve tatizo?
Kwa mara ya kwanza namuona mshanajr akishindwa kuwa focused kwa kile anachokitetea,na amebaki kutapatapa kama mfa maji.Sio kwamba namtetea dudubaya ila ,nimeshindwa kuelewa uyu mshana kasimama wapi,naona ata mifano anayotoa ni irrelevant.Hapa ndio uwezo wetu wa kufikiri ulipofikia. Anakurupuka mtu from nowhere na kwa malengo anayojua mwenyewe anaropoka
. Fulani ni mwizi akamatwe
. Fulani ni Malaya akamatwe
. Fulani ni shoga akamatwe
Je ndio namna ya kuendesha nchi? Unafikiri fulani akishakamatwa na kupelekwa mahabusu ndio mwisho? Au ndio utakuwa umesolve tatizo?
Heading inasemaje kwanza hebu tuanzie hapo... Imehoji? Imeuliza au imetoa taarifa?, ni muhimu sana kwanza kuelewa hiloKwa mara ya kwanza namuona mshanajr akishindwa kuwa focused kwa kile anachokitetea,na amebaki kutapatapa kama mfa maji.Sio kwamba namtetea dudubaya ila ,nimeshindwa kuelewa uyu mshana kasimama wapi,naona ata mifano anayotoa ni irrelevant.
Sema umetumia ujanja tu wa kuandika,lakini nikikusoma betwen the line ,hiyo alama ya kuuliza kwenye heading ni gelesha tu. Yaani ni kama umejificha kwenye shamba la karanga.Heading inasemaje kwanza hebu tuanzie hapo... Imehoji? Imeuliza au imetoa taarifa?, ni muhimu sana kwanza kuelewa hilo
Pili maudhui yanasemaje, yamechambua? yamethibitisha? Yameweka mjadala? Ama yamehukumu?
Tatu hitimisho linasemaje? Hapo ndipo uliposhindiwa wewe na ndio ukaona nami mimeshindwa
Sasa huo ni mtazamo wako na sio msimano wangu... Nikikuzuia kufikiri unavyodhani wewe naweza kuwa mwendawazimu na ile slogan ya JF ya the home of great thinkers nitakuwa sijaitendea hakiSema umetumia ujanja tu wa kuandika,lakini nikikusoma betwen the line ,hiyo alama ya kuuliza kwenye heading ni gelesha tu. Yaani ni kama umejificha kwenye shamba la karanga.
Kweli kabisa, hata mimi naamini Dudu baya karusha mawe gizani mojawapo limempata mleta mada.Jiwe gizani, ukisikia paaa ujue limekupata.
Ukiona mtu anatumia nguvu kubwa kutetea haki za mashoga ujue na yeye ni shoga.
We Mshana tulia... Yule mtu wenu kawataja akina Kinana sijui mzee Makamba, kwamba wanavuruga nchi, anataja watu bila ushahidi umekaa kimya... Leo unaleta vitisho kwa The Dudu Konki..Hapa ndio uwezo wetu wa kufikiri ulipofikia. Anakurupuka mtu from nowhere na kwa malengo anayojua mwenyewe anaropoka
. Fulani ni mwizi akamatwe
. Fulani ni Malaya akamatwe
. Fulani ni shoga akamatwe
Je ndio namna ya kuendesha nchi? Unafikiri fulani akishakamatwa na kupelekwa mahabusu ndio mwisho? Au ndio utakuwa umesolve tatizo?
Aliowataja watakuwa na hasira nae mbaya mbovu lkn ikithibitika Kama ni kweli Wale watu aliotaja wanajihusisha basi serikali imlinde sana nae ajilinde akome kutembea kwenye mabaa usiku.Ni suala la muda tu hana mwisho mwema amejiingiza kwenye vita nzito sana.